Tunajua kuwa Mh Juma Duni Haji alihamia Chadema ili kukidhi matakwa ya kikatiba na kuwa mgombea mwenza wa Lowassa wakati wa harakati za mabadiliko. Baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na Lowassa kushindwa, katika matukio mengi yanayohusha viongozi wa Chadema huwa namuona Lowassa, Mbowe, Mbatia, Sumaye na kiasi fulani Kingunge ndo wanaonekana. Nijuavyo mimi, Lowassa hana dhamana yoyote ya uongozi pale Chadema kwa kuwa yeye alikuwa ni mpeperusha bendera tu na hata Juma Duni Haji ilikuwa ni vivyo hivyo. Nini kinaendelea kwa Mh Jma Duni Haji kutoonekana kwenye matukio yanayohusisha Viongozi wa Chadema? Au amesharejea CUF Kimyakimya? Au ni ile Kansa ya Ukanda ndani ya Chadema inasababisha asionekane? Nini hatma yake kwenye Chama hicho mzee huyu ambaye ni Kipenzi cha Wazanzibar wengi hasa wana CUF?. Kwa mwana JF yeyote mwenye ufahamu wa kinachoendelea naomba atujuze.
Vijana inabidi muielewe siasa mtoa mada inaonekana siasa huijui, ukawa ni muuondo wa vyama vinne kwa hyo walipoamua kuingia kwenye uchaguzi na kugombania urais inabidi kila chama kitoe mgombea wake lakin kwa vile wameungana haiwezekani kuweka wagombea wote 4 sasa wakaamua ww chadema una wafuasi wengi na una nguvu huku bara toa mgombea wa urais na wakaona wa pili kwa wafuasi wengi ni cuf ss wewe weka mgombea mwenza haina maana juma duni alihama chama chake,bado yuko cuf na anafanya shughuli katika chama chake cha cuf bda uchaguzi kuisha[/QUO
Kwa maelezo yako kama hapo ndo umeelewa Siasa, kweli huo ni uelewa wa nyumbu. Na ndiyo mlikuwa mnafuata mkumbo kwa uelewa huo? Juma Duni Haji alikuwa mgombea mwenza akiwa ni mwanachama wa Chama gani?
Ndugu unapotosha sana. sheria ya uchaguzi inatamka wazi, Chama kitasimamisha mgombea urais na mgombea mwenza. Ndiyo maana Babu duni ililazimu ahame CUF na achukuwe uanachama wa Chadema kwa kibali cha Maalim Seif. Tume ilishatoa onyo hakuna chama kinaitwa UKAWA na hakitambui uwepo wake na ndiyo sababu ya mgogoro wa jimbo la Segerea tume ilipoamua kurejesha majina mawili yote ya Ukawa.Vijana inabidi muielewe siasa mtoa mada inaonekana siasa huijui, ukawa ni muuondo wa vyama vinne kwa hyo walipoamua kuingia kwenye uchaguzi na kugombania urais inabidi kila chama kitoe mgombea wake lakin kwa vile wameungana haiwezekani kuweka wagombea wote 4 sasa wakaamua ww chadema una wafuasi wengi na una nguvu huku bara toa mgombea wa urais na wakaona wa pili kwa wafuasi wengi ni cuf ss wewe weka mgombea mwenza haina maana juma duni alihama chama chake,bado yuko cuf na anafanya shughuli katika chama chake cha cuf bda uchaguzi kuisha
Endelea....Tumeona babu Duni akirudi CUF na kuiponda chadema. Kulikoni?
Tumeona Mwapachu akirudi CCM na kujilaumu kuwa alifanya makosa na ametubu. Kulikoni?
Kingunge kimya, NPS mashakani. Kulikoni?
Lowassa kimya, Meneja wake wa kampeni katoroka nchini, mkwe wake "ananyea debe" keko. Kulikoni?
Jee, kutolewa Rished Bade TRA kuna uhusiano wowote wa umasai wake na Lowassa? Cha kushangaza kwa Bade ni kuwa mpaka sasa hajapatikana na kosa lolote la kumpeleka mahakamani kama ilivyo kwa wasaidizi wake akina Masamaki. Kulikoni?
Siasa za Tanzania ni kizungumkuti.
Tumeona babu Duni akirudi CUF na kuiponda chadema. Kulikoni?
Tumeona Mwapachu akirudi CCM na kujilaumu kuwa alifanya makosa na ametubu. Kulikoni?
Kingunge kimya, NPS mashakani. Kulikoni?
Lowassa kimya, Meneja wake wa kampeni katoroka nchini, mkwe wake "ananyea debe" keko. Kulikoni?
Jee, kutolewa Rished Bade TRA kuna uhusiano wowote wa umasai wake na Lowassa? Cha kushangaza kwa Bade ni kuwa mpaka sasa hajapatikana na kosa lolote la kumpeleka mahakamani kama ilivyo kwa wasaidizi wake akina Masamaki. Kulikoni?
Siasa za Tanzania ni kizungumkuti.
Huna haya? Wala hujui vibaya?
CCM mbele kwa mbele.
Jibu maswali, au mtawapa ubunge wa viti maalum?
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Nakuonaga makini pamoja na udini wako lakini huna lolote
Rished Bade ni mtanzania mwenye asili ya kisomali kama walivyo kina Kinana,Bashe,Rage na wengineo wengi ndani ya CCM na wala sio mmasai.
Lowassa Edward naye ni Mmeru kwa kabila aliyekulia umasaini.
Rished Bade hana asili ya kisomali, Rished Bade ni mmasai wa ukoo wa Laseko, mbona hao ni maarufu sana Arusha. Uliza watu wa Arusha wakujuze.
Huwa sikisii.
Unamjua vizuri bade au unamuona kwenye picha?Nakuonaga makini pamoja na udini wako lakini huna lolote
Rished Bade ni mtanzania mwenye asili ya kisomali kama walivyo kina Kinana,Bashe,Rage na wengineo wengi ndani ya CCM na wala sio mmasai.
Lowassa Edward naye ni Mmeru kwa kabila aliyekulia umasaini.