Hayo maneno yamenukuliwa ndo maana yamefungiwa na hizo alama (") inaonesha n jinsi gan matumizi ya hizo alama zinawapiga chenga
Nyerere alisema a corrupt gvt, hata hivyo kwa jinsi Kikwete alipoifikisha nchi serikali ilikuwa kama ime-collapse.
Ni collapsed or corrupt goverment .labda mimi nimeelewa tofauti ila najua ni corrupt gvment ndo haikusanyi kodi
Ila jamaa ana hoja,2005-2015 nchi haikuwa na rais
mleta mada,mfann alioutoa mwl,nchi ili kukusanaya kodi alisema ni india au itali?mwenye hiyo hotuba pls aiweke tujifunze
Tatizo bavicha wana usongo na jk mpaka wanajiaibisha.sasa huyu hajui hata tofauti collapse na corrupt anataka tumjadili jk,kama si kutaka kupiga soga tu anataka nini
Heh heh lugha ya mama ni shida ni corrupt government yaani viserikali vinavyoendekeza rushwa wengine hupenda kuviita ''banana republic'' ukitaka kujua tabia zake ni kutokusanya kodi,collapse(d) ina maana nyingine kabisa.Ni collapsed or corrupt goverment .labda mimi nimeelewa tofauti ila najua ni corrupt gvment ndo haikusanyi kodi
Maji yashamwagika,lakini ndio uzuri wa JF huwa tunajifunza mengi baada ya kufanya makosa.Na bahati mbaya hawezi kusahihisha hadi mods waje wamuokoe.
Kaka bado tu unapigania roho yako? Maneno yamenukuliwa toka kwa nani?
Sauti ya wengi ni sauti ya mungu...ahahahaha
Hii lugha jamani.....dah