Julius Mtatiro naye anasubiri siku tu

Julius Mtatiro naye anasubiri siku tu

Kila kitu kiko tayari punde tu naye ataungana na wenzake kusaidia taifa kupitia CCM.Alipokutana na Mh Makonda kila kitu kiiwekwa sawa.

Hata ukiingia sasa katika page zake yuko anatukanana na fans wake baada ya kuwaunga mkono waliohama.

Kila la kheri Mtatiro
a95d1d4a4418b2ce0c7da7c6a00a2ebb.jpg
mm
Mwenyekiti wa CUF Julius Mtatiro, akutana uso kwa uso na Paul Makonda
Hongera mkuu kwa utabiri.
 
Nacheck TBC naona Mtatiro naye amerudi nyumbani (CCM) kumuunga mkono Mkuu wa Kaya.

Kweli yajayo yanafurahisha.
Hivi hiki kiitikio cha .......KUMUUNGA MKONO MKUU WA KAYA . .....hakuna kingine mpaka kitumike hiki hiki tu?
 
Ahahha limefukuliwa hatimae ,kweli Jf Kuna watabiri wa nyakati sio nyota,Mkuu Rutung M heshima kwako .
 
Kuna Mzee mmoja alikuwa akishangaa sana watu kujiua, haukupita mwaka nae akajiuwa kwa kujifumua ubongo kwa risasi. Ndo maisha yalivo ya binadamu.
Screenshot_2018-08-11-22-02-10.jpg
 
Back
Top Bottom