Julius Mtatiro naye anasubiri siku tu

Julius Mtatiro naye anasubiri siku tu

Kila kitu kiko tayari punde tu naye ataungana na wenzake kusaidia taifa kupitia CCM.Alipokutana na Mh Makonda kila kitu kiiwekwa sawa.

Hata ukiingia sasa katika page zake yuko anatukanana na fans wake baada ya kuwaunga mkono waliohama.

Kila la kheri Mtatiro
a95d1d4a4418b2ce0c7da7c6a00a2ebb.jpg
mm
Mwenyekiti wa CUF Julius Mtatiro, akutana uso kwa uso na Paul Makonda
Heshima kwako mkuu
 
Ijue rasmi ratiba ya rais wako.

Kwa sasa Ratiba inajulikana kabisa

~Uteuzi

~Siku ya kuapishwa

~Kutengeneza Matukio

~Kuweka mawe ya msingi

~Kuzindua miradi (kusimwangwa day)

~Ukimyaaaaaaaaaa

~Msisitizo/Matamko

~Kutenguliwa
-kutembelewa na mgeni mjengoni pale
 
Huy utamsubiri sana hahami maana kishaanzisha chama chake kinaitwa CUF Facebook Club na ana wanachama wengi sana. Sijajua kama atamkaribisha Maalim Seif katika chama chake kipya cha Facebook

hahahaha watabiri wame ku prove wrong
 
kuna wengie wanahama vyama vyao baada ya kuona ushirikiano kutoka kwa wananchi ni bado
 
Jamii Forum ina vichwa vya hatari mnoo. Kumbe kuna mdau alikuja akaliandika hili humu ndani kwa ufasaha kabisa zaidi ya miezi Tisa iliyopita kuwa Mtatiro alishafikia bei.

Kweli nimeamini wanasiasa wachumia tumbo ndio wanaonunulika vizuri kwa sasa.
Jf hatare
 
Rutunga M wewe ni mtu usie julikana sina shaka na hilo.
 
Back
Top Bottom