Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Nachojiuliza huko ccm huyu ndiyo kawa msemaji wa chama? Kamrithi lini nape? Hazungumzii kawa-mbwa kujiuzulu ? Anazungumzia elimu ya mbowe na. Hivi akitimuliwa tena ccm ataenda wapi kwa maneno gani tena. Hilo karatasi alilopewa chuo kikuu ndiyo anaringia ? Na anajua yapo mangapi huku watu wametundika ukutani hayana issue!!! Hivi yeye ndiye wa kwanza kusoma hamna wengine hichochuo kilianza mwaka gani kila mwaka kinatoa watu.
 
Shanza ni bora usisome hata darasa moja, lakin kuwa na Ma PHDs ambayo mwisho wake unanunuliw ana na mafisadi wasio na mpango wowote, elimu yako imekusaidia nini... na nakwambia soma usomavyo hutokuja kufikia perosailty ya MH. Mbowe, zaidi ya hapo ni laana ua njaa inakusumbua
 
Nachojiuliza huko ccm huyu ndiyo kawa msemaji wa chama? Kamrithi lini nape? Hazungumzii kawa-mbwa kujiuzulu ? Anazungumzia elimu ya mbowe na. Hivi akitimuliwa tena ccm ataenda wapi kwa maneno gani tena. Hilo karatasi alilopewa chuo kikuu ndiyo anaringia ? Na anajua yapo mangapi huku watu wametundika ukutani hayana issue!!! Hivi yeye ndiye wa kwanza kusoma hamna wengine hichochuo kilianza mwaka gani kila mwaka kinatoa watu.
Amekuwa kero, hajengi chama kawa mtu wa mipasho siyo sera.
 
Andry Nirina Rajoelina born 30 May 1974, is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on 21 March 2009 during a political crisis, having held the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. He began his career as an entrepreneur in his teenage years, first as a DJ at local clubs and parties, and later by organizing and promoting musical events in the capital.
Mkuu Safari_ni_safari hili ndo jibu murua kwa mburula kama Shoza na maCCM wenye akili ndogo kama zake. Yeye anashangaa waziri mkuu kuwa na elimu ya Form Four, sasa aone ya Rais tena aliyeingia madarakani kwa nguvu ya umma na baadae nguvu hiyo inajiandaa kumthibitisha kwa kura mwaka huu. Ama kweli CCM ni janga la taifa
 
aaaaaaaah! sasa ccm ndio inazama hii. ni sera za ccm za matusi. mmekwishaa! p -u- m -b- a- v- u- zenu. hamna jipya huyu shonza mnaezunguka nae ndio anawamaliza kabisaaaa.
 
Hata mimi nimekua najiuliza swali hili toka nimeanza kumsikia ktk majukwaa na akina Nape! Ni aibu tupu. Hivi hajui Zuma aliishia darasa la pili?

Na hamjui hata JOHN MAJOR!

449px-John_Major_1996.jpg

The Rt Hon Sir John Major, KG, CH, PC, ACIB (born 29 March 1943) is a British Conservative politician who served as Prime Minister of the United Kingdom from 1990 to 1997. Major was Leader of the Conservative Party from 1990 to 1997 and held the posts of Foreign Secretary and Chancellor of the Exchequer in the Cabinet of Margaret Thatcher. He was the Member of Parliament (MP) for Huntingdon from 1979 general election to 2001 general election.

Major left school at age 16 in 1959, with three O-levels: History, English Language, and English Literature. He later gained three more O-levels by correspondence course, in the British Constitution, mathematics and economics. His first job was as a clerk in the insurance brokerage firm Pratt & Sons in 1959. Disliking this job, he quit, and for a time he helped with his father's garden ornaments business along with his brother, Terry Major-Ball. Major joined the Young Conservatives in Brixton at this time. Major was 19 years old when in 1962 his father died at the age of 83. His mother died eight years later at the age of 65.

After Major became prime minister, it was misreported that he had failed to get a job as a bus conductor because of failing a maths test, when in fact he passed all of the tests, but had been passed over for the job to another candidate owing to his height.



After a period of unemployment, Major started working at the London Electricity Board (where his successor as the Prime Minister, Tony Blair, also worked when he was young) in 1963, and he decided to undertake a correspondence course in banking. Major took up a post as an executive at the Standard Chartered Bank in May 1965, and he rose quickly through the ranks. He was sent to work in Jos, Nigeria by the bank in 1967, and he nearly died in a car accident there!
 
Na katika maraisi wote duniani, ni huyu JK ndiye mwenye digrii ya uchumi faluire kwani alipata "PASS".
Kumbe ndo maana!!!! Maana hajawahi kufanya kazi yoyote ya kutumia hiyo taaluma ya uchumi zaidi ya kufundisha siasa jeshini na kutumikia CCM. Sasa mchumi gani huyo jamani?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!


Hiki kijanamke kinawashwa,................nini waziri mkuu, je rahisi wa Madagascar alikuwa na taaluma gani?? Kachambe ukalale......we lopoka lopoka tu kabla kina Mwigulu Mchawi hawajakutia mimba huko u-magambani!

Shenzi we!!!
 
Mbona Mbowe alisoma Ihungo Sekondari na kumaliza kidato cha sita? Na Hull Univeristy je aliendaje? I doubt ukweli wa huyu dada lakini muhimu si elimu ila uwezo. Hivi Jacob Zuma alimaliza darasa la ngapi? How many of Tanzanian politicians can match him? Aibu kwa wanasiasa wa chama tawala ku capitalize kwenye personal attacks!

je form four ambaye matokeo yake yametoka leo na div iv aweza kuwa kama mbowe?
 
Na hamjui hata JOHN MAJOR!

449px-John_Major_1996.jpg

The Rt Hon Sir John Major, KG, CH, PC, ACIB (born 29 March 1943) is a British Conservative politician who served as Prime Minister of the United Kingdom from 1990 to 1997. Major was Leader of the Conservative Party from 1990 to 1997 and held the posts of Foreign Secretary and Chancellor of the Exchequer in the Cabinet of Margaret Thatcher. He was the Member of Parliament (MP) for Huntingdon from 1979 general election to 2001 general election.

Major left school at age 16 in 1959, with three O-levels: History, English Language, and English Literature. He later gained three more O-levels by correspondence course, in the British Constitution, mathematics and economics. His first job was as a clerk in the insurance brokerage firm Pratt & Sons in 1959. Disliking this job, he quit, and for a time he helped with his father's garden ornaments business along with his brother, Terry Major-Ball. Major joined the Young Conservatives in Brixton at this time. Major was 19 years old when in 1962 his father died at the age of 83. His mother died eight years later at the age of 65.

After Major became prime minister, it was misreported that he had failed to get a job as a bus conductor because of failing a maths test, when in fact he passed all of the tests, but had been passed over for the job to another candidate owing to his height.



After a period of unemployment, Major started working at the London Electricity Board (where his successor as the Prime Minister, Tony Blair, also worked when he was young) in 1963, and he decided to undertake a correspondence course in banking. Major took up a post as an executive at the Standard Chartered Bank in May 1965, and he rose quickly through the ranks. He was sent to work in Jos, Nigeria by the bank in 1967, and he nearly died in a car accident there!
Mkuu Safari_ni_Safari umemaliza kila kitu, huyu mtoto ana matatizo makubwa, lakini kama ni wa kujifunza ataelewa.
 
kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

JOHN MAJOR aliyekuwa PM wa Uingereza @ Britain @ United Kingdoms alikuwa na elimu ya kiwango gani?

Bazazi ni Bazazi!
 
kwani mawazi wakuu waliosoma kama pinda wameisaidiaje nchi kutatua changamoto zake.
Nani kamwambia tanzania ikipata waziri mkuu aliyesoma itaendelea.
Ahsante ametambua mwenyewe Slaa atakuwa Rais wa Tanzania
 
Shoza, DR Kawambwa na hiyo Phd yake imetusaidia nini Watanzania? Na Phd nyingi za mwenyekiti wako mpya zimetusaidia nini kuondoa matatizo ya wananchi? Tueleze sera na mikakati ya CCM katika kutondoa katika matatizo yetu ya kila siku. Tetea na tuelimishe mambo ya ccm kumshambulia Mh Mbowe,Dr Slaa, Prof. Lipumba nk haitusaidii sisi walalahoi kupata maji, huduma na maji na afya nk

Jingine ushabiki na upenzi kwa chama chochote ni kupendzwa na sera au itikadi ya chama hicho. Kwa maana hiyo Shoza ulikuwa una tetea sera za kiliberali sasa umekuwa mjamaa??
 
Kikwete na digrii yake mbona utendaji sifuri.

Pale UD, Kikwete alitoka na PASS tena kwa mbinde, Rtzone naye hivyo hivyo - PASS ya mbinde. Hadi leo, ukiondoa Nyerere, viongozi walioacha mark nchi hii ni wale wasiokuwa na degree! E.g. Makamba na Keenja (miti na ustawi wa jiji la Dar angalau ukilinganisha na huko nyuma), Mrema (vituo vya polisi), etc. Issue hapa ni utashi na busara katika uongozi (Shule kama mtu kabarikiwa na utashi wa uongozi). Ukishaona viongazi wa chama wanaishia kuchafua wengine kwa elimu, ukabila, ukanda, udini n.k. huku wakijua wanagawa nchi vipande vipande, basi tumekwisha. Hii unaonyesha pia upeo mdogo alionao kiongozi wa nchi na chama kilichopo madarakani. Nani hajui CCM imejaa viongozi waliofoji vyeti au wasiokuwa na elimu sawia na vyeo vyao e.g. Nchimbi, Nagu, Kinana, n.k. Huku ni kupotezeana muda.
 
Shonza I advise you to talk about issues and NOT about people. It seems you are politically BANKRUPT!!!!Pack and GO!!
 
Back
Top Bottom