stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Nazi ya Msoga ina Degree ya UCHUMI lkn aliulizwa kwanini nchi yako ni maskini akasema hata mimi SIJUI,,,jamani si kituko hicho?,,ELIMU SIO VYETI,UNAWEZA SOMA USIELIMIKE
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
kana muda wa kujisomea?
Juliana Juliana Juliana umeacha ulokole mdogo wangu?? Mama Shonza wa Mabibo Loyola analitambua hilo?? acha kutangatanga.
| Salutation | Honourable |
| First Name: | Freeman |
| Middle Name: | Aikaeli |
| Last Name: | Mbowe |
| Constituent: | Hai |
| Political Party: | CHADEMA |
| Office Location: | P.O. Box 3070, Moshi |
| Office Phone: | |
| Ext.: | |
| Office Fax: | |
| Office E-mail: | fmbowe@parliament.go.tz |
| Member Status: | Current Member |
| Date of Birth | |
| Secondary School |
| Company Name | |
|---|---|
| Bank of Tanzania | Bank Officer |
nikiri tu kwamba simfahamu vizuri huyu binti ambaye aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA,ushauri wangu kwa huyu Juliana Shonza ni wazi kuwa anaonekana kuwa anatatizo la malezi,wazazi wake hawakufanyakazi yao vizuri,ni kijana ambaye alitakiwa kuwa na mustakabali mzuri wa maisha yake lakini amekubali kutumiwa na kufanyakazi ya kujidhalilisha,pamoja na elimu anayotamba kuwa nayo kama kweli anayo ingawa elimu haionekani kumsaidia chochote hadi sasa!?
kijana mwenye akili timamu na elimu ya kawaida tu ya sekondari hawezi kiufanya kazi ya aibu na fedhea kama anayofanya huyu binti ya ukibaraka/umamluki anadhalilisha familia na wazazi wake kama anao,aibu iwafike popote walipo hata kama ni ahera!
asichokijua huyu binti ni tunda atakalovuna kwa dhambi ya usaliti aliyowafanyia vijana wa Tanzania kupitia BAVICHA,kama kweli ni kijana msomi kama anavyomdhalilisha mwenyekiti wa CHADEMA kuwa hajasoma,afanye kautafiti kadogo tu kujua wanasiasa waliopata kutumikishwa(kwa ukibaraka na umamluki) na CCM kama yeye kwenda kufanya kazi ya usaliti na umamluki kwenye vyama vya upinzani vilivyokuwa na mwelekeo mzuri kama vile NCCR-MAGEUZI,CUF,TLP UDP NK NK walifikia wapi kwenye safari yao hiyo?na yeye ndiko huko huko anakoelekea!
kwa kijana mtanzania msomi kwa kiwango cha walau digrii moja ukikubali kutumwa kwenda kufanyakazi ya ukibaraka kama alivyofanya Juliana Shonza ni wazi kuwa umeshajiaribia maisha yako kisiasa kwani hata yule aliyekutuma kazi hiyo anakudharau na hatokaa akuamini maishani mwake!
Juliana pata ushauri kutoka kwa waliokutangulia kama Dr.Lamwai-NCCR-MAGEUZI,Msabaha-CUF,Tambwe Hizza-CUF/CCM
ana matatizo ya akili huyu mtoto
By scramble fanya utafiti wa kina unaweza unaweza ukapewa PhD bila kuwa na Master kama utaweza kujastify na unapokuwa umefanya outstanding perfomance kwenye eno usika!ndiyo maana Sumaye Fredrick ana ordinary Diploma na Master to Harvad usijiulize First Degree.
Egerton Agricultural College(Diploma)
Harvard Kennedy School(MPA)
outstanding performance inaweza ikawashawishi senate ya chuo kuvusha.
Hahaha! Binti anajazba baada ya kutimuliwa CDM kama mbwa mwizi.
Nashukuru Mungu mmesadiki kuwa Dr. Slaa ndiyo rais ajaye.
NB:
CONDOM moja ni kwa kila tendo moja tu, sasa baada ya tendo hili matumizi yenu yatakuwa yameisha na tutawamis sana wasaliti.
Mkuu jingojames tatizo la huyu binti siyo malezi kwa wazazi la"alilelewa katika malezi mazuri ya kikristo
aliyekuwa mliokole mzuri,shida yake ya usaliti ilianzia pale alipomsaliti Yesu na kugeuka kurudi dhambini,
ndiyo maana haoni shida tena kumsaliti mwanadamu awaye yote maana aliweza kumsaliti Mungu"