Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

ila chupi ndo yake:rockon:

juliana ninae mfahamu ni huyu. hapo alikua ameiteka goba
26.jpg
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
wananchi wa tanzania tunachotaka ni maisha bora kama henzi za mzee kawawa, habari ya elimu wapelekee magamba alafu kwenye kura wenye elimu wawapigie wenye elimu na sisi walala hoi tuwapigie wasio na elimu, na zaidi ya hapo yanapotakiwa maandamano wenye elimu waadamane vyao na sisi walalahoi tuandamane vyetu alafu tuone nani atashida, ccm hamna hila mtakayoifanya ikawacha salama, kwa kuwa mnatumia elimu kama hila, jibu lake ni kwamba mnawadharau watu wote wenye elimu ndogo,kwa hila hiyo mnazidi kujipaka mavi mbele ya watanzania walio hoi ambao ndio mtaji wa chadema.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
wananchi wa tanzania tunachotaka ni maisha bora kama henzi za mzee kawawa, habari ya elimu wapelekee magamba alafu kwenye kura wenye elimu wawapigie wenye elimu na sisi walala hoi tuwapigie wasio na elimu, na zaidi ya hapo yanapotakiwa maandamano wenye elimu waadamane vyao na sisi walalahoi tuandamane vyetu alafu tuone nani atashida, ccm hamna hila mtakayoifanya ikawacha salama, kwa kuwa mnatumia elimu kama hila, jibu lake ni kwamba mnawadharau watu wote wenye elimu ndogo,kwa hila hiyo mnazidi kujipaka mavi mbele ya watanzania walio hoi ambao ndio mtaji wa chadema.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Nilipenda sana jinsi Dr. Slaa alivyowajibu waropokaji hawa!! Kwa kweli nilijifunza kuwa mtazamaji na kuwaachilia mbali watu kama Juliana. Statements zake zimekuwa na maswali mengi zaidi ya majibu!! Sijui aliwezaje kuwa Vice Chair- BAVICHA!!

To me haya makombora yake ni kama taarabu tu...

Duh!!
 
Alikua wapi pindi hicho yuko Chadema ,kisa kufukuzwa? Shujaa ni Ole milia aliyeshindwa kuvumili uovu wanayofanyiwa wa Tz na kuamua kuiama chama kisichokua mpango wa kuitengeneza Tanzania bora
 
Mpumbavu sana huyu. Baba yake mzazi ana elimu gani? Shukukuru chadema imekusitiri mpaka unapata jeuri ya kuongea. Bila chadema ulikuwa malaya wa bei poa. Mbwa mkuu wee!! Nenda kafundwe. Maana mkole uhujui.
 
Chama cha Degree za Magumashi = CHADEMA
Aisee nimeipitia hii kitu hapa
quote_icon.png
By scramble
th


kuna mdau ameniuliza slaa ana shahada ya kwanza ya chuo kikuu? nikakosa jibu
akaniuliza tena: slaa ana masters? nikakosa jibu
akaniuliza: mtu anaweza kupata phd (isiyo honorary) bila ya kuwa na masters degree? nikakaa kimya
akaniuliza: cheo cha udokta amekipata wapi slaa hadi aitwe dr slaa? nikaguna
akaniuliza: unajua kuwa slaa phd yake ni ya kidini (canon law) nikamuambia kuwa mi nilidhani ni ya masomo mengine. kumbe ni ya kidini!?

"ka nchi haka kananuka" j.k. nyerere


akanirushia hizi data na mimi nimeona bora mnisaidieni kujibu hayo maswali hapo juu!




EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960


INA MAANA CHADEMA WASOMI NI LISSU, ZITTO, PROF WA KISWAHILI NA MDEE PEKE YAO! mmmmmhhhh! kazi ipo!

Nimejiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu.,ni vipi hawa jamaa wakawa na chama chenye mkusanyiko wa watu magumashi kiasi hiki.,kitila mkumbo ni mbakaji hilo linajulikana wazi.,lissu anamatatizo ya ubongo na madaktari wamethibitisha hilo.,halima ana matatizo yanayohusiana na jinsia na hili liko wazi zaidi ya mengine na hawa ndio wasomi ndani ya Chadema, na the rest ni mambumbumbu wa kutupwa, wakiongozwa na DJ mbowe na MC sugu..,hiki chama ni pasua kichwa...!
 
Jamani eeeh mwacheni mtoto akikua ataacha.
Katika nchi za
Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye
elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa
wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe
Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu
nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
 
Mzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!
Ukisema hata Kawawa alikuwa na elimu kama hiyo, lazima umalizie na kutuambia "na akafanya hiki na kile na hiki kwa mafanikio."

Vinginevyo utaambiwa ahaaaa, kumbe, basi ndio maana alikuwa akimaliza chai ugenini Uingereza hafuniki kikombe anaongezewa mpaka anataka kutapika hadi Nyerere amwambie "Kawawa funika kikombe"!

Meaning, he was an object of ridicule in this society. Uongo?
 
Mtoto mpumavu sana njaa inamasumbua hivi karibuni utasikia Nepi au Mwigulu waonekeana Guest na Juliana msaliti naona kaenda kuuza k yake huko magambani
 
Ha ha ha ha ni sawa kabisa bwana mchambuzi huyo binti nathani ni mmoja kati ya malimbukeni wanao amini kwamba elimu ni busara.... Bado hajaiva huyo ndio maana anatumika kama hicho kifaa ulichokitaja yaani kama binti angekuwa anasoma miaka ya leo basi yangekuwa yale ya kidato cha nne tuu..!
 
kama umeelewa maswali niliyoulizwa hapo juu, naomba unisaidie nimjibu vipi alieniuliza. kuweka ufafanuzi kuhusu canon law na phd yake ni nini, unakua hujanisaidia. jibu kwanza swali hili: phd ya slaa ni ya masomo ya biblia au masomo ya secular? kama ni ya kibiblia, hakuna hatari ya kutawala nchi kwa mfumo na mtazamo wa biblia hali ya kuwa chi yetu haina dini!?
Ni ya masomo ya secular! Dr Kitima Vc wa SAUT ana Phd ya Canon law inayotambuliwa na TCU na anafundisha law pale SAUT!
 
Kumekucha...

Mimi nimeamua kukaa kimya kwanza. Lakini hiyo form si ya zamani jamani siyo form four ya siku hizi ambapo vijana wetu wanahitimu kidato cha nne huku hawajui kusoma wala kuandika.
 
Aisee nimeipitia hii kitu hapa


Nimejiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu.,ni vipi hawa jamaa wakawa na chama chenye mkusanyiko wa watu magumashi kiasi hiki.,kitila mkumbo ni mbakaji hilo linajulikana wazi.,lissu anamatatizo ya ubongo na madaktari wamethibitisha hilo.,halima ana matatizo yanayohusiana na jinsia na hili liko wazi zaidi ya mengine na hawa ndio wasomi ndani ya Chadema, na the rest ni mambumbumbu wa kutupwa, wakiongozwa na DJ mbowe na MC sugu..,hiki chama ni pasua kichwa...!

Mingoi na Tandale One hamna jipya kwani huyo Mr.President JK Dr yake kaokotea wapi? Chakusikitisha ana digree ya uchumi lakini ndio kwanza uchumi wa taifa unayumba sasa yeye ana faida gani? Msipende kuropoka tuu kama mnakwenda haja.!
 
Juliana shonza bado anasumbuliwa na mzimu wa kutimuliwa cdm na kama hatatulia anaweza pia kufukuzwa ccm maama hawatabiliki na ukweli ukiwa mwanaharakati wa demokrasia huwezi kuhama upinzana ukaenda ccm labda kama ulitumwa na sasa unarudisha majibu kama alivyofanya shonza. Sasa watu waanze kuamini kuwa chadema walikuwa sahihi kumtimulia mbali na ataweweseka sana hadi agundue kuwa umepoteza mwelekeo ili aanze upya kujijenga.
 
Watu wanaofikiri kama Juliana nchi hii ni wengi!wanaoamini 'elimu'ni vyeti form six hadi chuo kikuu tena eti kwa aliyeenda moja kwa moja.Hii kwao ndio tafsiri ya msomi.Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hivyo!Elimu bila matokeo chanya kwa jamii ni janga!Ndio maana tunaona leo watu waliofanikiwa kusoma na kupata madaraka,wanatunga kanuni nyingi za jinsi ya kulipana posho kutokana na fedha kidogo ya watanzania.Wengine wamekuwa mafisadi na wahujumu uchumi licha ya kusoma Havard!Ukiangalia watu b inafsi waliofanikiwa katika kampuni zao,wengi hawana hizo elimu!Ipo mifano mingi sana.Na wengi waliofanikiwa kuuteka ulimwengu walikuwa drop out vyuo vikuu!Nasikitika kusema,pengine ulimwengu unahitaji mfumo mpya wa elimu,siyo hii aliyopata Juliana!Hata ukimchukua mtoto wa darasa la saba,anaweza kuwa na uwezo wa kujua nini cha kuongea,wapi na wakati gani!Nakusikitikia sana kwa vile hujui watanzania wanataka nini!Hatuhitaji ma PhD!tunahitaji kiongozi mzalendo mwenye uwezo wa kutumia rasilimali tulizonazo kuleta mapinduzi ya fikra na hatimaye uchumi utakaokomboa wananchi waliowengi!Hayo maneno yako ni ya mfa maji!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom