Mkuu hiyo access ya jukwaa la Wakubwa unaenda kwenye office za jamii forums kuwaomba au ?? Mimi niliwa Pm moderators hawaku nijibu
Mbona haki sawa kwa kila mtanzania hapa mnatubania
Wekeni wazi vigezo vya kujiunga na hilo jukwaa sio tunategemea leo Mods wameamkaje kama kagombana na mkewe/mmewe ndio ukatuma maombi inakula kwako
Moderators unawapataje mkuuNjia ya kupata access ni kuwa pm moderators likirudi jaribu kufanya hivyo tena na tena utapata access tu.
haaaa dda angu unastuka ghahawa ishaishaaa!!!!!Huko kwenye jukwaa la wakubwa kuna nini wajameni?
Likirudi na mie nitaomba access maana naona nitakuwa nimepitwa sana.
HahahaHabari MMU.
Naomba kujulishwa lilipoamoa Hili jukwaa pendwa Maana leo silioni.nawasilisha.
Ushasema yangu yake mpaka akubali mwenyewe...lol
Nooooaisee,,.... labda wana li edit...
HahahaHuko kwenye jukwaa la wakubwa kuna nini wajameni?
Likirudi na mie nitaomba access maana naona nitakuwa nimepitwa sana.
Halina umuhimu ndio maana wameona waliondoe kabisa!