Jukwaa pendwa la wakubwa limeenda wapi???

Jukwaa pendwa la wakubwa limeenda wapi???

huu mwonekano mpya sijaelewa ni mgumu kutumia
 
huu mwonekano mpya sijaelewa ni mgumu kutumia
Ufanyie kazi, kidogo kidogo mwonekano mpya utaenda nao sawa.

Mimi mwenyewe nlipofungua nlikua naona nyota, ila kadri nnavyobofya bofya na kujipa mazoezi naanza kuzoea mazingira.

Nna uhakika baada ya muda si mrefu ntafuzu, maana hapa nachokonoa chokonoa kama sina akili nzuri vile
 
Sikuzote ulikuwa huna access? Basi umepotwa sana.muulize @ masai dada atakupa utamu wake.

Mkuu hiyo access ya jukwaa la Wakubwa unaenda kwenye office za jamii forums kuwaomba au ?? Mimi niliwa Pm moderators hawaku nijibu
Mbona haki sawa kwa kila mtanzania hapa mnatubania
Wekeni wazi vigezo vya kujiunga na hilo jukwaa sio tunategemea leo Mods wameamkaje kama kagombana na mkewe/mmewe ndio ukatuma maombi inakula kwako
 
Last edited:
naomba tu ukitulize cuzoo wangu kule si kuzuri...hahaa utapofuka..ndo maana sikuwah kukujuza kuhusu hilo jukwaa..
Hivi cuzoo hunipendi kiasi hicho?
Umesahau kizuri kula na nduguyo?
Ngoja lirudi nami nikajionee mambo,khaaaa haiwezekani watu wachanganyikiwe kiasi hicho.
 
Hahahaha! Nilijua Mimi tu ndo silioni. Kumbe limeondolewa kabisa, sasa kwann hawakutoa taarifa kwa sisi wadau!
 
Huko kwenye jukwaa la wakubwa kuna nini wajameni?
Likirudi na mie nitaomba access maana naona nitakuwa nimepitwa sana.
we we bado hujaota meno! tulia kwanza na endelea kunyonya mpaka meno yaote!! Haha haha haaaa!!
 
Khaaaaa sijui ni wapi nitapotezea mawazo duuu....
Maana kule ilikuwa hata kama una stress unarudi mzimaaaa
 
Back
Top Bottom