KIBONGOMKUTI
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 1,425
- 616
Halina umuhimu ndio maana wameona waliondoe kabisa!
Haya ndo matatizo kila siku tunaisema Serikali yetu kufanya maamuzi bila kushirikisha wadau
Halina umuhimu ndio maana wameona waliondoe kabisa!
Teh Teh mabadiliko..Mwanzo wakati wanaliweka hawakulijua hilo.
Kweli kabisa ungekuwa karibu ningekupa endless hugging hadi 1st Jan 2016Haya siyo mabadiliko ila nikujichukulia maamuzi bila kushirikisha wadau ambao ndo sisi.
Teh Teh TehHaya siyo mabadiliko ila nikujichukulia maamuzi bila kushirikisha wadau ambao ndo sisi.
WhatttTeh Teh Teh
Kwa sasa watu watapewa access kwa Tsh 2000/= kwa mwezi na kila baada ya mwezi utalazimika kuomba tena kwa Tsh 2000
Eh mpaka uzeeke....Ukubwa zaidi ya huu nilionao tena?
Au unamaanisha nikizeeka?
Wakifanya hivyo utakuwa poa sana maana watoto wa Facebook ni Shida.