Emmanuel J. Buyamba
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,167
- 651
Hahahaaaaaaaaa!! jamani mbavu za spea wapi? Daaah!! Kaazi haswaaa!!Mumamamae sura atauzia CCTV camera tu.Labda sizonje amfanye bodgadi wake awe anaonekana nyuma yake
Hahahaaaaaaaaa!! jamani mbavu za spea wapi? Daaah!! Kaazi haswaaa!!Mumamamae sura atauzia CCTV camera tu.Labda sizonje amfanye bodgadi wake awe anaonekana nyuma yake
Lyuva Livaala.............!!Imbombo ngafu naloli
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Kuna mambo yanatia kihefchef sana mkuu.Tena hawo wabunge waccm hata kusema kitu kipindi hicho au kwenda Iringa kutoa pole au bungeni kumpa pole mbunge wa jimbo hilo kimyaaa eti leo wanasema Uhuru wa habari na yule mwandishi wa habari alopiga picha ya tukio la mwangosi alivyofariki hakuna hata mmoja aloenda hata kumwaga sinza leo full maandamano Madawa ya kulevya ni hatarii sanaa....wapi kina ditopile aloweza kumshoot mtu hadharani na hawakuandamana
kijana wa call me j alishasema safari yake yote ya kufahamika ilisababishwa na mheshimiwa mpya wa habari pale walipokutana akampeleka kwa marahemu six .hivyo vyombe vya habari vitalazimishwa tu kuandika habari zake subiri muda utasema, maana yeye ni mtu wake pengine yeye ndo kapendekeza kwa mfalme ili jamaa achaguliwe amlinde
Jukwaa la wahariri nchini Tanzania limeazimia kutoandika ama kutangaza habari zozote zinazomuhusisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya kiongozi huyo kudaiwa kuvamia kituo cha habari cha Clouds akiwa ameambatana na askari wenye silaha ili kutoa amri ya kurushwa hewani kwa kipindi cha televisheni.
Marufuku hiyo ambayo pia inaungwa mkono na umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania, itaendelea mpaka pale itakapotangazwa ama kuamriwa vinginevyo, wakuu wa jukwaa hilo wamesema.
Katibu wa jukwaa la wahariri nchini Tanzania Nevile Meena, amesema jukwaa hilo limekerwa na hatua ya afisa huyo wa serikali kuamuru kurushwa hewani kwa kipindi cha televisheni sambamba na kutumia nguvu kupora kipindi mali ya Clouds TV.
Rais Magufuli siku ya Jumatatu alimtaka Bw Makonda kuendelea kuchapa kazi
BBC SWAHILI
Kesho Magazeti yote kasoro uhuru na habari leo yatajaa vichwa vya habari "makonda aitwa na kamati ya bunge" tetetetetetetetetetetet
Kesho Magazeti yote kasoro uhuru na habari leo yatajaa vichwa vya habari "makonda aitwa na kamati ya bunge" tetetetetetetetetetetet
Kwa sababu Magazeti yatanunuliwa sana na Serikali itakusanya kodiHizo habari zita sababisha uchumi wa nchi upae
basiHabari wana jamvi
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakipiga kelele kuhusu lile swala la kutoandika habari za Makonda katika media, kwamba kwanini Makonda anaandikwa wakati kulikua na makubaliano asiandikwe?
Habari yoyote kuhusu Makonda ambayo inam-favor yeye ndo haitaandikwa ila habari ambazo hazitakuwa zikim-favor zitaendelea kuandikwa kama kawaida until declared otherwise!
Na leo ndo mambo yameanza kufika patamu kabsa katika ishu ya Makonda, tuendelee kupeana updates kutoka Bungeni!
Nawakilisha....
Akili zenu huwa mnaziacha wapi?Ama kweli wauza ngada noma..mmewekeza kila kona....ila makonda atawanyoosha
Angalia tangazo lenu linasemaje mkuu,unakuja hapa kurekebesha kama nani?Waandishi ndio uwezo wenu ulipofika hapo?Habari inayoweza kum favour kiongozi wakati yeye anafanya kazi kwa niaba ya wana Darisalama?Habari wana jamvi
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakipiga kelele kuhusu lile swala la kutoandika habari za Makonda katika media, kwamba kwanini Makonda anaandikwa wakati kulikua na makubaliano asiandikwe?
Habari yoyote kuhusu Makonda ambayo inam-favor yeye ndo haitaandikwa ila habari ambazo hazitakuwa zikim-favor zitaendelea kuandikwa kama kawaida until declared otherwise!
Na leo ndo mambo yameanza kufika patamu kabsa katika ishu ya Makonda, tuendelee kupeana updates kutoka Bungeni!
Nawakilisha....
Wahariri wana njaa sana. Agizo hilo haliwezi kutekelezeka...
Waliwahi kufanya hivyo kwa Juma Nkamia, Tulia Ackson wakaishia wapi?....
Kuna njaa mbaya sana ndani ya media industry. Hilo haliwezekni