Wakuu hebu nijuzeni vizuri kuhusu jukwaa la katiba
Nalijua jukwaa hili kwa maana ya jinsi lilivyo mstari wa mbele kuendesha mijadala na michakato ya kupata katiba mpya likiwa chini ya mwenyekiti wake Deus Kibamba
Nisichojua kuhusu hili jukwaa ni
je limeanzishwa au kuteuliwa na nani?
je ndilo lililopo kisheria kuongoza mchakato huu wa katiba mpya?
Je lina nguvu gani kisheria kuendesha hayo yote(ikiwemo kuitisha maandamano nchi nzima)?
Nawasilisha
Nalijua jukwaa hili kwa maana ya jinsi lilivyo mstari wa mbele kuendesha mijadala na michakato ya kupata katiba mpya likiwa chini ya mwenyekiti wake Deus Kibamba
Nisichojua kuhusu hili jukwaa ni
je limeanzishwa au kuteuliwa na nani?
je ndilo lililopo kisheria kuongoza mchakato huu wa katiba mpya?
Je lina nguvu gani kisheria kuendesha hayo yote(ikiwemo kuitisha maandamano nchi nzima)?
Nawasilisha