Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Naelewa Muziki ni biashara lakini kwa upande mwingine ni tunu na utambulisho wa jamii.
Wasanii wetu wamekuwa wanatukosea saana na wanaukosea utamaduni wetu. Tumekuwa ni watu wa kurukiarukia Muziki wa mataifa mengine bila kujua tunaua Muziki wetu.
Miaka ya 2010 kwenda chini tulijitahidi na tuliliteka soko la Africa mashariki. Baada ya hapo Wasanii wetu wote wakakimbilia kwenye Kwaito. Miaka miwili haikukata Kwaito ikakosa soko. Tukahamia kwa wanigeria. Muziki wetu ukazikwa.
Leo tumehamia kwenye Amapiano tena. Muda sio mrefu tutahamia kwengine.
Kinachotokea tunashindwa kuliteka soko la Africa kwasababu hatufanyi kilichochetu. Niwahahakikishie hata tuwe na msanii mzuri kiasi gani akiimba Amapiano hawezi kumpiku Msanii wa SA. The reason is simple... Ukifanya unachokijua utatumia nguvu kidogo.
- Tukuze Singeli...tuwafanye Wasouth Africa na Wanigeria waimbe Singeli. Leo tunayasaidia mataifa mengi kutangaza Miziki yao. Wacongo wamestick kwenye Miziki wao na kimataifa wanafanya vizuri saana.
Diamond akiimba na Koffi wimbo wenye mahadhi ya Kikongo na wimbo ukawa mkubwa credits nyingi haziendi kwa Diamond na Tanzania, zinaenda Congo.
Wasanii wetu wamekuwa wanatukosea saana na wanaukosea utamaduni wetu. Tumekuwa ni watu wa kurukiarukia Muziki wa mataifa mengine bila kujua tunaua Muziki wetu.
Miaka ya 2010 kwenda chini tulijitahidi na tuliliteka soko la Africa mashariki. Baada ya hapo Wasanii wetu wote wakakimbilia kwenye Kwaito. Miaka miwili haikukata Kwaito ikakosa soko. Tukahamia kwa wanigeria. Muziki wetu ukazikwa.
Leo tumehamia kwenye Amapiano tena. Muda sio mrefu tutahamia kwengine.
Kinachotokea tunashindwa kuliteka soko la Africa kwasababu hatufanyi kilichochetu. Niwahahakikishie hata tuwe na msanii mzuri kiasi gani akiimba Amapiano hawezi kumpiku Msanii wa SA. The reason is simple... Ukifanya unachokijua utatumia nguvu kidogo.
- Tukuze Singeli...tuwafanye Wasouth Africa na Wanigeria waimbe Singeli. Leo tunayasaidia mataifa mengi kutangaza Miziki yao. Wacongo wamestick kwenye Miziki wao na kimataifa wanafanya vizuri saana.
Diamond akiimba na Koffi wimbo wenye mahadhi ya Kikongo na wimbo ukawa mkubwa credits nyingi haziendi kwa Diamond na Tanzania, zinaenda Congo.