Jukumu nililomkabidhi wife amelishindwa

Jukumu nililomkabidhi wife amelishindwa

msemakweli2

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,886
Ni mwaka sasa tangu nilipoamua kumfutia wife majukumu yote ya nyumbani na kumbakishia jukumu moja.

Ni hivi kifupi mimi na wife wote ni watumishi, sasa nimemwambia majukumu yote yanayohusu hela mimi nitahusika,

Na mengi nimeyafakinikisha bila msaada wake mfano nyumba nimeshamaliza, watoto nawalipia ada, nimemnunulia gari yake, vyakula na mpaka chupi namnunulia,

Cha msingi yeye nimemwambia akitoka kazini anaoga ananisubiri kitandani kwa ajili ya kula tunda angalau mara tatu kwa siku, lakini anaanza porojo ooooh nimechoka oooh sijui mara hiki mara kile.

Nimemwambia ajipanga la sivyo nitafikiria vinginevyo, mimi ugojwa wangu ni pale chini sinywi wala sina starehe nyingine na wala sina nyumba ndogo, nimempa week akishindwa nitabadili mawazo.
 
Ni mwaka sasa tangu nilipoamua kumfutia wife majukumu yote ya nyumbani na kumbakishia jukumu moja.

Ni hivi kifupi mimi na wife wote ni watumishi, sasa nimemwambia majukumu yote yanayohusu hela mimi nitahusika,

Na mengi nimeyafakinikisha bila msaada wake mfano nyumba nimeshamaliza, watoto nawalipia ada, nimemnunulia gari yake, vyakula na mpaka chupi namnunulia,

Cha msingi yeye nimemwambia akitoka kazini anaoga ananisubiri kitandani kwa ajili ya kula tunda angalau mara tatu kwa siku, lakini anaanza porojo ooooh nimechoka oooh sijui mara hiki mara kile.

Nimemwambia ajipanga la sivyo nitafikiria vinginevyo, mimi ugojwa wangu ni pale chini sinywi wala sina starehe nyingine na wala sina nyumba ndogo, nimempa week akishindwa nitabadili mawazo.

'Kula tunda angalau mara tatu kwa siku' yaani si chini ya mara tatu kwa masaa 24 sio njema kabisa kiafya na ninakubaliana na mkeo kwamba lazima atakuwa anachoka halafu ninakubaliana na wewe katika kumuacha na yawezekana ukaoa na kuacha wengi kwa style hiyo. Kwa kifupi kumuacha kwa hiyo programme yako ya mara tatu au zaidi kwa masaa 24 sio busara; halafu kuwa na programme kama hiyo pia sio busara!!
 
Ule mara tatu kwa cku Kwan umesikia chakula hicho?! Hilo lin aitwa K ww vp?
 
Hilo ndio jukumu lililomshinda?? Pole sana, tafuta kwa kujipooza
 
Ni mwaka sasa tangu nilipoamua kumfutia wife majukumu yote ya nyumbani na kumbakishia jukumu moja.

Ni hivi kifupi mimi na wife wote ni watumishi, sasa nimemwambia majukumu yote yanayohusu hela mimi nitahusika,

Na mengi nimeyafakinikisha bila msaada wake mfano nyumba nimeshamaliza, watoto nawalipia ada, nimemnunulia gari yake, vyakula na mpaka chupi namnunulia,

Cha msingi yeye nimemwambia akitoka kazini anaoga ananisubiri kitandani kwa ajili ya kula tunda angalau mara tatu kwa siku, lakini anaanza porojo ooooh nimechoka oooh sijui mara hiki mara kile.

Nimemwambia ajipanga la sivyo nitafikiria vinginevyo, mimi ugojwa wangu ni pale chini sinywi wala sina starehe nyingine na wala sina nyumba ndogo, nimempa week akishindwa nitabadili mawazo.
Wachangia mada hii, mmekubali kudanganywa na huyu jamaa bila kujielewa..
Ww mleta mada umeshindwa kuupangilia uongo wako vizuri mm nimekushtukia hiyo ni comedy tu umetuletea..
Ni hivi, umesema ww na huo mlupo wako wote ni watumishi.. sasa huo muda wa kufanya mapenzi mara tatu kwa siku umeupata wapi? Au ki,a siku nyie hamlali mnakesha kama popo?
 
tafuta mchepuko usifikiri wote wanahimili vishindo huenda kazini anachoka sana, kazi zinatofautina.

kama sivyo mwachishe kazi moja ya kuajiriwa abaki na hiyo uliyompangia ya kujiajiri
 
Katangaza utemi au uwezo wake wa kifedha??
Kule kutahadhalisha anamaaniaha kuwa na uwezo wa hatua fulani za kufanya baada ya kutoona mabadiliko, nani sasa hapa ampe ushauri?

Kesi ya mke na mume ikiwashinda ndani, hupelekwa kwa wazazi siyo kwenye mitandao!!
 
Back
Top Bottom