Judith Moshi Kuzikwa leo 20/06/2013 SOKON ONE ARUSHA.

Judith Moshi Kuzikwa leo 20/06/2013 SOKON ONE ARUSHA.

Status
Not open for further replies.
Poleni sana pole ss wote. Judi bye bye Rest in peace mwaya.
 
judith,
nina imani usingizi uliolala huwezi tena kuamka.nilipoangalia video ya tukio lililoondoa uhai leo na juhudi za wenzio kukuamsha japo uuone mwanga wa ulimwengu huu kwa mara ya mwisho,hukufanya hivyo.nimeshuhudia tu kufumba kwa macho yako meno kushikana na kinywa kufumba.kwangu mimi nina imani kubwa na matendo haya mawili.

Kinywa kinafumba kwa sababu yale uliyopaswa kuyasema uliyasema lakini hawakusikia,na macho yamefumba kwa sababu uliyoyasema na kuyapigania hukuona mabadiliko,ni matokeo hayohayo ya uovu,ufisadi na uzandiki ambayo yamekulaza chini.

Ninayo imani,umeshakutana na mungu wa kweli mwenye kuumba,pengine huko uliko unayaona yanayotendeka katika nchi hii kwa uwazi zaidi.mwambie mungu ya kuwa ni wengi tunatamani kuja kwake lakini kwa matakwa yake,mweleze bila kificho ya kuwa kama atatuchukua kwake kwa njia uliyoenda pengine tutakuwa tunastahili hukumu isiyo yetu.tuombee japo atupe miaka michache ili ukombozi wa taifa hili uonekane.mwisho umwambie tunakushukuru kwa zawadi aliyotupa kwa muda ambayo ni wewe.mwambie kamwe kuzaliwa na kuondoka kwako kurudi kwake siyo kwa bahati mbaya.

Mwambie kabisa ya kuwa,dalili za ukombozi zinaonekana dhahiri,toa hesabu ya matendo yako na ueleze upepo unavyovyuma kutoka mtwara mpaka arusha ni dalili za kitu kamili.mwambie kusini na kaskazini watu wako hawaangamii tena kwa kukosa maarifa.

Mwambie kabisa,wanakushukuru na kuzipigania kwa nguvu raslimali na tunu za taifa hili.

Mwisho msihi sana bwana mungu wa majeshi ya kwamba,asisimame tena mbali na sisi,joka linataka kutumeza,msaada wake kwa wakati huu ni wa muhimu sana.

Kwaheri dada judith,ulale usingizi wa amani!

...maneno mazito sana haya....yanatoka kwa mungu...
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........
......Kizazi chenu kina mikosi na kulaaniwa...

CC maisha yako
 
I Knew her, Kamanda kaenda mbele sisi Nyuma, italipwa tu Duniani ama Mbinguni.

Kalale Dada Angu, Kalale Kwa Amani, Sisi Bado Tunaendelea kupigania ulichoanzisha
 
Ni muda mrefu sana nimesoma historia ya Dr.Martin Luther King Jr.Kwa majonzi niliyokuwa nayo imebidi nipitie kujikumbusha harakati za kamanda huyu,hakika nimejisikia kupata nguvu na matumaini makubwa.Damu ya mtu si kama damu ya wanyama hayawani haimwagiki bure. Mwenyezi mungu akurehemu Judith.
 
Kama Arusha pangekuwa karibu na Dar, Mbeya, Mwanza nk ingebidi policcm watayarishe makonteina ya siraha kuulia umati wa wapenda haki ambao wangeudhilia msiba huu!
TUTAMKUMBUKA MWL NYERERE ALIVYOWAKATAZA POLICCM KUMZUIA MREMA ASIBEBWE KIPINDI KILE.PENGINE ANGEKUWEPO HAYA MAUAJI YA KINYAMA YANAYOTOKANA NA KUZUIA WATU KUFANYA MATAKWA YAO LIKIWEMO LA KUOMBOLEZA YASINGETOKEA. PUMZIKA JUDY MUNGU KESHAKUPOKEA LAZIMA
 
​May God rest her soul in eternal peace~AMEN
 
Wananchi wote msitishwe kwani nasikia kuna mabalozi wanawatisha wananchi kuhusu kuhudhuria mazishini.
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........

F$$$$$$% u
 
Judith,
Nina imani usingizi uliolala huwezi tena kuamka.Nilipoangalia video ya tukio lililoondoa uhai leo na juhudi za wenzio kukuamsha japo uuone mwanga wa ulimwengu huu kwa mara ya mwisho,hukufanya hivyo.Nimeshuhudia tu kufumba kwa macho yako meno kushikana na kinywa kufumba.Kwangu mimi nina imani kubwa na matendo haya mawili.

Kinywa kinafumba kwa sababu yale uliyopaswa kuyasema uliyasema lakini hawakusikia,na macho yamefumba kwa sababu uliyoyasema na kuyapigania hukuona mabadiliko,ni matokeo hayohayo ya uovu,ufisadi na uzandiki ambayo yamekulaza chini.

Ninayo imani,umeshakutana na Mungu wa kweli mwenye kuumba,pengine huko uliko unayaona yanayotendeka katika nchi hii kwa uwazi zaidi.Mwambie Mungu ya kuwa ni wengi tunatamani kuja kwake lakini kwa matakwa yake,mweleze bila kificho ya kuwa kama atatuchukua kwake kwa njia uliyoenda pengine tutakuwa tunastahili hukumu isiyo yetu.Tuombee japo atupe miaka michache ili ukombozi wa taifa hili uonekane.Mwisho umwambie tunakushukuru kwa zawadi aliyotupa kwa muda ambayo ni WEWE.Mwambie kamwe kuzaliwa na kuondoka kwako kurudi kwake siyo kwa bahati mbaya.

Mwambie kabisa ya kuwa,dalili za ukombozi zinaonekana dhahiri,toa hesabu ya matendo yako na ueleze upepo unavyovyuma kutoka Mtwara mpaka Arusha ni dalili za kitu kamili.Mwambie kusini na Kaskazini watu wako hawaangamii tena kwa kukosa maarifa.

Mwambie kabisa,wanakushukuru na kuzipigania kwa nguvu raslimali na tunu za taifa hili.

Mwisho msihi sana Bwana Mungu wa majeshi ya kwamba,asisimame tena mbali na sisi,joka linataka kutumeza,msaada wake kwa wakati huu ni wa muhimu sana.

Kwaheri dada Judith,ulale usingizi wa amani!

unaonaje hii tukampa karajeremaya au profesa J au sugu ikatengenrezwa singo kwa style ya mashairi kama ya mjomba
 
Naomba uni pm tuweze kuwasiliana nikupe na simu yangu tuandae ujumbe huu kwa kuongeza baadhi ya maneno alafu tuusambaze nchi nzima kwenye simu za wapenda mabadiliko na wapenz wote wa chadema

Mkuu nakupa go ahead kama una la kuongeza fanya hivyo.
 
unaonaje hii tukampa karajeremaya au profesa J au sugu ikatengenrezwa singo kwa style ya mashairi kama ya mjomba

Unafanya mzaha na msiba?

kasimba123 kuna siku utakufa au kufiwa tu. MUNGU siyo kipofu amekuona!
 
Last edited by a moderator:
Rest in peace Judith, Mwigulu Nchemba alisema ukienda kwenye mkutano wa Chadema atakuua na kweli ametimiza ahadi yake, najua ulianza na Mungu na umemaliza na Mungu, pole sana ila nilicho na uhakika nacho ni kwamba watatuua lakini hawatatumaliza.
 
That time: Kiongozi Imara Kapatikana Watanzania Endelezeni Taifa Endelevu....

Today:?????????

R I P JUDITH...
 
r.i.p sote tu njia moja na hatujui tutakufa lini na wala kifo gani tutakachokufa
 
From Judith' wall page in heaven now;
" tell my people that i love them and they must continue to struggle...my blood will continue to nourish the CDM tree that bears the fruit of Tanzanians' freedom, ALUTA CONTINUA" Peoplesssssss..... and every body should say POWER!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom