R.I.P. Maam,its real sad we will miss you
Chagonja hatatumia opportunity hiyo kumkamata kweli?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wananchi, wapenzi na wanachama wote wa CHADEMA tukutane Mount Meru Mortuary asubuhi saa tatu kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Judith Moshi aliyefia kwenye tukio la bomu tarehe 15/2013.
Mhe. Mbowe ataongoza tukio hilo.