Judith Moshi Kuzikwa leo 20/06/2013 SOKON ONE ARUSHA.

Judith Moshi Kuzikwa leo 20/06/2013 SOKON ONE ARUSHA.

Status
Not open for further replies.
Huyu ndiye aliyeanguka pale chini siku ya tukio?

Ndiye yeye, alikuwa katibu wa BAWACHA mkoa siku zilizopita. Ila mpaka anafariki alikuwa katibu wa CHADEMA kata ya SOKON ONE. Atazikwa pale walipozikwa wazazi wake.
 
Rest in peace Judith, you have fought the war and fought it well, you will be remembered always in our hearts
Which war???............R.I.P ma'am judith....too bad your killers are using your death for political gains.........
 
Im new in this forum but since the happenings started happening i thought of where can i express my feelings. Im so depressed with what is happening in Arusha. Ooh! Lord see the tears of Arusha people
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........
Hebu fungueni macho Dar mpaka kigoma shwariiii
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........
Nyani wa meru
 
Judith,
Nina imani usingizi uliolala huwezi tena kuamka.Nilipoangalia video ya tukio lililoondoa uhai wako na juhudi za wenzio kukuamsha japo uuone mwanga wa ulimwengu huu kwa mara ya mwisho,hukufanya hivyo.Nimeshuhudia tu kufumba kwa macho yako meno kushikana na kinywa kufumba.Kwangu mimi nina imani kubwa na matendo haya mawili.

Kinywa kimefumba kwa sababu yale uliyopaswa kuyasema uliyasema lakini hawakuyasikia,na macho yamefumba kwa sababu uliyoyasema na kuyapigania hukuona mabadiliko,ni matokeo hayohayo ya uovu,ufisadi na uzandiki ambayo yamekulaza na kukugalagaza chini.

Ninayo imani,umeshakutana na Mungu wa kweli mwenye kuumba,pengine huko uliko unayaona yanayotendeka katika nchi hii kwa uwazi zaidi.Mwambie Mungu ya kuwa ni wengi tunatamani kuja kwake lakini kwa matakwa yake,mweleze bila kificho ya kuwa kama atatuchukua kwake kwa njia uliyoenda pengine tutakuwa tunastahili hukumu isiyo yetu.Tuombee japo atupe miaka michache ili ukombozi wa taifa hili uonekane.Mwisho umwambie tunakushukuru kwa zawadi aliyotupa kwa muda ambayo ni WEWE.Mwambie kamwe kuzaliwa na kuondoka kwako kurudi kwake siyo kwa bahati mbaya.

Mwambie kabisa ya kuwa,dalili za ukombozi zinaonekana dhahiri,toa hesabu ya matendo yako na ueleze upepo unavyovyuma kutoka Mtwara mpaka Arusha ni dalili za kitu kamili.Mwambie kusini na Kaskazini watu wako hawaangamii tena kwa kukosa maarifa.

Mwambie kabisa,wanakushukuru sana kwa raslimali na tunu ulizowapatia.Waambie wanajua kwa dhati kabisa rasilimali hizo ulilenga zinufaishe taifa hili.

Mwisho msihi sana Bwana Mungu wa majeshi ya kwamba,asisimame tena mbali na sisi,joka linataka kutumeza,msaada wake kwa wakati huu ni wa muhimu sana.

Kwaheri dada Judith,ulale usingizi wa amani!
 
Ilaaniwe CCM na wanaCCM wote, Alaaniwe Nape, Lukuvi, Mwigulu, Chagonja na wendawazimu wenzake.
CCM ni chama cha kishetani kabisa.
 
Judith,
Nina imani usingizi uliolala huwezi tena kuamka.Nilipoangalia video ya tukio lililoondoa uhai leo na juhudi za wenzio kukuamsha japo uuone mwanga wa ulimwengu huu kwa mara ya mwisho,hukufanya hivyo.Nimeshuhudia tu kufumba kwa macho yako meno kushikana na kinywa kufumba.Kwangu mimi nina imani kubwa na matendo haya mawili.

Kinywa kinafumba kwa sababu yale uliyopaswa kuyasema uliyasema lakini hawakusikia,na macho yamefumba kwa sababu uliyoyasema na kuyapigania hukuona mabadiliko,ni matokeo hayohayo ya uovu,ufisadi na uzandiki ambayo yamekulaza chini.

Ninayo imani,umeshakutana na Mungu wa kweli mwenye kuumba,pengine huko uliko unayaona yanayotendeka katika nchi hii kwa uwazi zaidi.Mwambie Mungu ya kuwa ni wengi tunatamani kuja kwake lakini kwa matakwa yake,mweleze bila kificho ya kuwa kama atatuchukua kwake kwa njia uliyoenda pengine tutakuwa tunastahili hukumu isiyo yetu.Tuombee japo atupe miaka michache ili ukombozi wa taifa hili uonekane.Mwisho umwambie tunakushukuru kwa zawadi aliyotupa kwa muda ambayo ni WEWE.Mwambie kamwe kuzaliwa na kuondoka kwako kurudi kwake siyo kwa bahati mbaya.

Mwambie kabisa ya kuwa,dalili za ukombozi zinaonekana dhahiri,toa hesabu ya matendo yako na ueleze upepo unavyovyuma kutoka Mtwara mpaka Arusha ni dalili za kitu kamili.Mwambie kusini na Kaskazini watu wako hawaangamii tena kwa kukosa maarifa.

Mwambie kabisa,wanakushukuru na kuzipigania kwa nguvu raslimali na tunu za taifa hili.

Mwisho msihi sana Bwana Mungu wa majeshi ya kwamba,asisimame tena mbali na sisi,joka linataka kutumeza,msaada wake kwa wakati huu ni wa muhimu sana.

Kwaheri dada Judith,ulale usingizi wa amani!

Naomba uni pm tuweze kuwasiliana nikupe na simu yangu tuandae ujumbe huu kwa kuongeza baadhi ya maneno alafu tuusambaze nchi nzima kwenye simu za wapenda mabadiliko na wapenz wote wa chadema
 
R.I.P dada judith ,damu yako tutaipigania huku nyuma.

tuache kusema mungu atalipa , its time for we Tanzanians to stand for these devils blood sucker chama cha mauaji (ccm).
popote ulipo kemea huyu mdudu chama cha mauaji(ccm) kwa hali na mali .kwa pamoja na dhamira tutashinda.
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........

wewe ndye freemason unayehusika na maaji haya kwasababu wewe ni ccm na ccm pamoja na polisi ndio waliolipua bomu.
 
Nimejikuta nalia tu. Rest in peace honey Mungu atakulipia tu, walaaniwe wote waliohusika na mauaji yale damu yako Judith iendelee kudai haki yako mbele za Bwana. Mungu awatie nguvu wapendwa wako wote uliowaaacha nyuma. Nashindwa kuendelea kuandika it is paining Lord why. Why now oh Lord, the family needs her the most. R.I.P Judith.
...Pole sana Ablessed Mungu na Watanzania wote kutowa Mashetani Tuko pamoja nawe......
 
Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa waeki ndugu zao na shemeji zao nyie mazumbukuku mtakwisha wacha tamaaaa..........

A loser is what you are...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom