mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,102
Amemzungumzia ambaye utendaji wake ulionekana wazi wazi, wewe km unatenda vzr kwa kujificha basi utakuwa unaiogopa serikari au ndo wale wale maamuzi yanatoka kerikalini. Hata hvyo hajasema km hakuna wengine lkn huyo ndo aliyemuona yeye.Kwa hiyo judges wote Tanzania unafahamu utendaji kazi wao!!!