Judge James L. Mwalusanya

Judge James L. Mwalusanya

mkuu bujibuji huyu jaji ni mtu muhimu kwangu kwa masuala ya kisheria SINTA MSAHAU KAMWE vitabu vyake vilinisaidia kushinda kesi ya KUDHULUMIWA ARDHI BILA KUWA NA WAKILI NIKIWA NA UMRI WA MIAKA 17 ! HE WAS MY HERO!
 
Dah huyu Judge, nimekutana na precedents zake za kutosha kwenye administrave law japo sikuwa nasomea law.

Mi nouma sana huyu, apunzike sehemu salama.
 
Mungu aiweke roho ya Jaji Mwalusanya mahali pema peponi.. Ukisimamia haki dunia hii hauna maana
 
Huyu alikuwa anatoa kesi hukumu yake kama anafundisha vile. Usipoelewa hukumu za huyu jamaa bora uachane ma mambo ya sheria. Hata Mahakama ya rufaa walikuwa wanapata tabu kupindua hukumu za huyu jamaa. alikuwa akisimamia haki, tena hata kama ni against serikali. Aliipiga chini serikali mara nyingi sana. So sad mahakama na serikali kwa ujumla wakamtupa mkono, hawakumpromote na alipostaafu hadi kufa alitelekezwa. Atabaki legend kwenye mahakama ya tanzania na hadi leo hakuna jaji aliyemfikia. RIP.
Laurance v Government of Zanzibar (Criminal Appeal No. 17 of 2002) [2003] TZCA 3 (31 October 2003)
Huyu aliondoka na mahakama. Lugakingira, Katiti, Mroso, Kyando baada yao basi
 
Hii ndio ile kesi iliyoleta haki ya dhamana ambayo PROF.MGONGOFIMBO alijifanya yeye ndio mlalamikaji baada ya PETE mwenyewe kesi yake ya msingi kuisha na maombi yake ya kikatiba ya dhamana yakiwa hayajasikilizwa sasa alivyoitwa kuja kupambana akakataa na ndipo FIMBO akajitokeza kama rafiki wa mahakama ( AMICUS CURIE) na akashinda maombi hayo.
Carbood alipokuwa rafiki wa mahakama akaamua kuichinjia mbali hoja ya MGOMBEA BINAFS,leo ndo naelewa why aliichinjia mbali,kumbe mgombea binafs hana maslah na chama chake pendwa ambacho leo anakitumikia
 
Back
Top Bottom