FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
It will take billions of Years and this is the theoretical projection: The End Of The Sun
Kwani Qur'an inasemaje.., hahahahah...It will take billions of Years and this is the theoretical projection: The End Of The Sun
Kwani Qur'an inasemaje.., hahahahah...
Ukweli ni kwamba jua nalo lina chanzo chake cha nishati, ambacho kwa kitaalam wanaita 'Hydrogen fuel', kila sekunde inayopita kuna kiwango kikubwa sana cha 'hydrogen' kinachounguzwa na jua ili kuweza kutoa mwanga na joto ambapo inakadiriwa ndani ya miaka kadhaa wa kadha ijayo 'mafuta' hayo yataisha na jua kuzima kama umeme wa TANESCO. Nawasilisha.
DON FRANCIS
umeme wa tanesko, na vyanzo vingine vitatufaa iwapo mfumo wetu wa sayari utaendelea kuwepo.
It will take billions of Years and this is the theoretical projection: The End Of The Sun
Kwani Qur'an inasemaje.., hahahahah...
umeme wa tanesco unazalishwa mitoni. maji yatatokaje baharini na kujaza mito bila kuwepo jua?
halafu elewa kwamba jua ndio chanzo cha nishati zote hapa duniani. jua likizima ndo utakuwa mwisho wa dunia.
Stori za kahawa mnazileta huku JF ?
Kuanzia Big Bang mpakakuumbwa na mwisho wa dunia kumeelezwa scientifically kwenye Qur'an. Amazing.
Jisomee: And by the Earth of Fissure – Sorat At-tariq | Ù ÙÙع ÙصÙت Ù٠اÙاعجاز اÙعÙÙ Ù Ù٠اÙÙرا٠باÙØ-Ùائ٠اÙعÙÙ ÙØ©Ø Ø§Ùاعجاز اÙعÙÙ Ù Ù٠اÙÙرا٠اÙÙرÙ٠٠عجزات اÙÙرآ٠اÙعÙÙ