WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,458
- 956
Mhh! Im dumbfounded!
Story hii na ile ya Miss Mwanza........ looking foward to more
Thanks!
Story hii na ile ya Miss Mwanza........ looking foward to more
Thanks!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is it true stories?kama sio inawezekana kuna kaukweli hata 30%msinogewe sana na hivi visa.. nimeshasababisha ugomvi kwenye nyumba ya mtu na siku moja msibani baada ya mtu kunipa pole ananiambia habari za visa hivi.. so.. zinazokuja hazitakuwa za ndani namna hii sana ili nitazinogesha hadi mahali fulani yale ambayo sitayaweka nitayaacha mawazoni mwa watu tu.
Hivyo visa hivi vingi ni vile nilivyoandika kuanzia 2007 kwenda nyuma.
Na. M. M. Mwanakijiji
Kabla hatujafanya lolote tukubaliane mambo machache Nilianza kumwambia
Ok Alijibu huku akiwa amesimama karibu yangu akiniangalia utadhani anaangalia picha ya Mona Lisa
Sitaki kujua chochote zaidi ya kujua kuwa una afya nzuri Nilimuambia
Nina afya nzuri Alinijbu.
.