Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
We acha tu. Lakini kama kawa logistics zilifanyika MILA ikadumishwa!
duh..hommie umenikumbusha VIP aisee
We acha tu. Lakini kama kawa logistics zilifanyika MILA ikadumishwa!
Hahaha! Zile PM balaa!duh..hommie umenikumbusha VIP aisee
Nina hofu mwanakijiji kavamiwa. Punguza kasi ya mabadiliko, mkuu. Otherwise you are heading to the wrong direction. But...the story war superb!
Hahaha! Zile PM balaa!
mashemejiiz bana mafumbo meeeeengi!...hommie ndo maana this time inabidi turudi pale...
Umegundua hilo hommie? Manake mtu anaweza kuongoka watu wakamwogopa kama ilivokuwa kwa mtume Paulo.hahahah Kingi bana
hajavamiwa..i fact kama alikuwa amevamiwa ni zamani sasa hivi amejikomboa kabisa! ameona maisha katika mwanga mwingine
Hebu longa na Fidel ile project yake ya 2012 afanye needful iwe 2010! MidTown si bado hapajanitoka, si unajua yale mambo ya Upanga?hommie ndo maana this time inabidi turudi pale...
Saizi sangapi? mambo ya kuja kutafutana wakati vyupa viwili tayari kumkichwa tutajalaumiana bure.mashemejiiz bana mafumbo meeeeengi!...
hehehe!mkoloni kapiga simu kokote aliko anasema ''GEOFFREY PLEASE DON'T LEAVE I HAVE A MEETING WITH YOU AT 5:30''...ikabidi niwe mdogo tu...!APPOINTMENT CANCELLEDSaizi sangapi? mambo ya kuja kutafutana wakati vyupa viwili tayari kumkichwa tutajalaumiana bure.
I will drink for your healthy!hehehe!mkoloni kapiga simu kokote aliko anasema ''GEOFFREY PLEASE DON'T LEAVE I HAVE A MEETING WITH YOU AT 5:30''...ikabidi niwe mdogo tu...!APPOINTMENT CANCELLED
Umegundua hilo hommie? Manake mtu anaweza kuongoka watu wakamwogopa kama ilivokuwa kwa mtume Paulo.
Hebu longa na Fidel ile project yake ya 2012 afanye needful iwe 2010! MidTown si bado hapajanitoka, si unajua yale mambo ya Upanga?
Saizi sangapi? mambo ya kuja kutafutana wakati vyupa viwili tayari kumkichwa tutajalaumiana bure.
Kuna sehemu yoyote katika Biblia ilipokataza? Mi najilambia tu bana. Raha jipe mwenyewe!hata kwaresma unakunywaga pombe mangi?
tchaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!I will drink for your healthy!
tchaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
banta for me please!!! nina kiu biggie ila ntakunywa mwenyewe hakuna kuninywesha!!!!
Kuna sehemu yoyote katika Biblia ilipokataza? Mi najilambia tu bana. Raha jipe mwenyewe!
Mwanakijiji hiyi story nzuri sana big upnyie watu mnasoma haraka hivyo!!! duh!
M/kijiji , mzee wewe unafaa kuwa mtunzi wa hadithi make hii hadithi mimi nilifikiri kweli kitu kimetokea, kamanda ebu aanza kujtunga vitabu vya mapenzi bila kupoteza muda, utauza kaka, huoni akina shigongo wanavotesa na viadithi vyao vya uongo na ukweli,
aanza kupublishi kaka, utapata fans wengi tu