Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
- Thread starter
-
- #21
JOTO LA MAPENZI-16
ILIPOISHIA
Siku moja ambayo ilikuwa chanzo cha mkasa huu ninaokuhadithia, alikuja mwanamke mmoja ambaye alionekana mwenye maisha ya kifahari. Ilikuwa tofauti na wateja wengi kuja mchana, yeye alikuja saa moja na nusu usiku.
Baada ya kumkaribisha bila kumjua ni nani alinieleza matatizo ya mume wake.
ENDELEA..."
Samahani mzee nina tatizo la muda mrefu kwa mume wangu."
"Tatizo gani?" nilimuuliza.
"Japo ni aibu lakini imenibidi nije mwenyewe baada ya kuwatuma watu ambao waliniletea nilichowatuma bado tatizo limekuwa kubwa lililokosa ufumbuzi."
"Ni tatizo gani?" Nilimuuliza.
"Mume wangu ana tatizo la nguvu za kiume."
"Unasema umeshawahi kumtuma mtu hapa kwangu?"
"Ndiyo."
"Ulipomtuma ikawaje?"
"Ulimpa dawa ya kuweka kwenye chai na kumueleza mwenye tatizo atumie vyakula vya aina gani?"
"Mmh! Ikawaje?"
"Kwa kweli ilikuwa vigumu kwa vile chakula cha mume wangu kina mtu maalumu wa kupika siyo mimi na vyakula anavyokula hupangiwa na si kupanga mimi."
"Mmh! Ipo kazi sasa unataka kufanya nini?"
"Kwa kweli ndoa yangu haina raha kabisa imekosa amani kabisa, ukimuona mume wangu mbele za watu ana heshima kubwa lakini ndani hana lolote."
"Sasa tufanye nini ikiwa unasema vitu vingi vinapangwa kufanyiwa mumeo na si amri kutoka kwako?"
"Nasikia wewe ni mtaalamu mkubwa wa matatizo ya wanawake hivyo naomba msaada wako kwani nimekuwa nikitoka nje ya ndoa yangu kuitafuta starehe ambayo sikupenda kuipata nje zaidi ya mume wangu."
"Tatizo hilo mume wako analijua?"
"Analijua lakini hataki lijulikane kwa watu zaidi ya kuwa siri yetu wawili."
"Lina muda gani?"
"Mmh! Tangu alipoukwaa uheshimiwa."
"Kwani wewe ni mke wa nani?"
"Wa kiongozi wako wa nchi."
Kauli ile ilinishtua na kujiuliza ina maana kiongozi wangu wa nchi ndiye mwenye tatizo zito kama lile. Nilijikuta nikitetemeka baada ya kujikuta nikiwa mbele ya mke wa mkuu wa nchi. Baada ya kuyagundua mabadiliko yangu alinituliza.
"Mzee wangu punguza presha upo huru kutoa msaada wowote kwangu nakuahidi kukupa chochote ukitakacho ili kutatua tatizo hili. Nisingekuwa mke wa mheshimiwa wala nisingesumbuka kuja huku ningeendelea na kidumu changu."
"Unasema wewe mke wa mheshimiwa unawezaje kutoka nje ya ndoa yako?"
"Mara nyingi hutumia mlinzi wa mume wangu ambaye naye huficha siri hii, naamini kabisa penzi halina siri wasiwasi wangu mume wangu akigundua natembea na mlinzi wake anaweza kumuua na pengine mimi kuingia katika kashfa."
"Umesema mumeo anatambua tatizo lake?"
"Ndiyo."
"Amelishughulikia vipi?"
"Kila akirudi ziara zake huja na dawa za kumeza lakini hazimsaidii lolote, nimemueleza ajaribu miti shamba amekataa kwa vile anaamini waganga wa mjini ni waongo."
"Tatizo lipo katika kumpa dawa kwa vile asilimia ya chakula chote kinatayarishwa katika umakini wa hali ya juu hivyo dawa zetu hazina nafasi."
"Huna dawa hata ya kumpaka sehemu zake za siri usiku akiwa amelala nimpake?"
"Mmh! Dawa hiyo ni nzuri kama mwenyewe anatambua kwa vile kuna dawa nyingine ya mizizi nakuambia akinywa lazima akeshe juu ya kifua."
"Sasa huko si kukomoana hata raha ya mapenzi haitakuwepo?"
"Itakuwepo kwa vile umekosa raha hizo kwa muda mrefu nawe hutataka ateremke upesi kwani kuna dawa nikikupa itakuongezea hamu ya mapenzi."
"Si unipe."
"Tatizo la dawa ile unamchua mpaka bakora inasimama hapo mnaanza mapenzi kwa wiki tatizo lote linakwisha kabisa."
"Mmh! Kwa njia hiyo haitawezekana kama nilivyokueleza bado anaamini dawa za kizungu zitamponya."
Nilitulia kwa muda na kuwaza jinsi ya kumsaidia mke wa mkuu wa nchi ambaye aliamua kujivua nguo mbele yangu ili kupata tiba ya mumewe kuishiwa nguvu za kiume. Dawa iliyokuwepo ilikuwa ya kuingiza sehemu za siri ambayo ingemsaidia pale anapokutana na mumewe bakora isiweze kupoa haraka.
Niliamini kwa vile anatoka nje ya ndoa yake na mlinzi wa mumewe basi angetumia dawa ile wakati wa kuiba basi yule mwanaume aitumie kisha aweze kwenda kukutana na mumewe.
Japokuwa ilikuwa dawa ambayo inatakiwa kutumiwa na watu wanaotaka kutatua tatizo kwa makubaliano kwa vile hakukuwa na jinsi niliamua kutumia njia ile kuokoa ndoa ya mke wa mkuu wa nchi.
"Sasa mama kuna dawa moja ambayo nina imani inaweza kukusaidia."
"Dawa gani hiyo?"
"Kuna dawa nitakupa kabla ya kukutana na mumeo inatakiwa uiingize ndani kwa kumtumia mwanaume, kama mumeo angekuwa yupo tayari wala usingepata shida ungempaka na yeye kuingiza ndani ingewasaidia, lakini kwa vile hataki kutumia dawa tunazoziamini zitamaliza tatizo itabidi ujitahidi siku ya kukutana na mumeo uanze kukutana na mlinzi wake ili kuingiza dawa ndani."
"Mmh! Si nitaonekana nimetumika?"
"Hapana, ataingia taratibu bila kufika mwisho ili kuingiza dawa tu kisha unakwenda kukutana na mumeo bila kuonesha kasoro yoyote."
"Mmh! Sasa hivi siwezi kufanya hivyo, huwa nakutana naye kwa siri sana."
"Sasa tutafanyaje?"
"Nakusikiliza wewe."
"Hakuna njia yoyote, labda awepo mtu mwingine bila hivyo dawa hiyo itashindikana."
"Kwa kweli sina, kama unavyojua mimi ni mke wa mheshimiwa natakiwa kujiheshimu sana siwezi kuutoa mwili wangu ovyo."
"Mmh! Kuna njia moja ambayo nimewasaidia wanawake wengi waliokuwa na wanaume wabishi kama mumeo...lakini kwa wewe siyo nzuri."
"Jamani mganga nisaidie na mimi nipo tayari kufanya unavyotaka ili kuishi katika ndoa ya furaha. Nitakupa hata zawadi ya nyumba na gari nisaidie mganga," Mke wa mheshimiwa alisema huku akionesha dalili za machozi kuonesha tatizo lake ni zito sana.
"Mara nyingi nimekuwa nikiwawekea mwenyewe na mwisho wa siku ndoa zao zimesimama. Lakini kwa vile wewe mke wa mtu mkubwa siwezi, nakuheshimu pia namuheshimu mkuu wa nchi."
"Mganga ukuu ni cheo lakini ubinaadamu uko palepale, raha anazozipata mke wa mheshimiwa hazipishani na mtu wa kawaida hata maumivu ya moyo ni yaleyale wote tuna moyo wa nyama. Naomba nami unisaidie."
"Naweza kukusaidia lakini naona kama utajishushia heshima."
ILIPOISHIA
Siku moja ambayo ilikuwa chanzo cha mkasa huu ninaokuhadithia, alikuja mwanamke mmoja ambaye alionekana mwenye maisha ya kifahari. Ilikuwa tofauti na wateja wengi kuja mchana, yeye alikuja saa moja na nusu usiku.
Baada ya kumkaribisha bila kumjua ni nani alinieleza matatizo ya mume wake.
ENDELEA..."
Samahani mzee nina tatizo la muda mrefu kwa mume wangu."
"Tatizo gani?" nilimuuliza.
"Japo ni aibu lakini imenibidi nije mwenyewe baada ya kuwatuma watu ambao waliniletea nilichowatuma bado tatizo limekuwa kubwa lililokosa ufumbuzi."
"Ni tatizo gani?" Nilimuuliza.
"Mume wangu ana tatizo la nguvu za kiume."
"Unasema umeshawahi kumtuma mtu hapa kwangu?"
"Ndiyo."
"Ulipomtuma ikawaje?"
"Ulimpa dawa ya kuweka kwenye chai na kumueleza mwenye tatizo atumie vyakula vya aina gani?"
"Mmh! Ikawaje?"
"Kwa kweli ilikuwa vigumu kwa vile chakula cha mume wangu kina mtu maalumu wa kupika siyo mimi na vyakula anavyokula hupangiwa na si kupanga mimi."
"Mmh! Ipo kazi sasa unataka kufanya nini?"
"Kwa kweli ndoa yangu haina raha kabisa imekosa amani kabisa, ukimuona mume wangu mbele za watu ana heshima kubwa lakini ndani hana lolote."
"Sasa tufanye nini ikiwa unasema vitu vingi vinapangwa kufanyiwa mumeo na si amri kutoka kwako?"
"Nasikia wewe ni mtaalamu mkubwa wa matatizo ya wanawake hivyo naomba msaada wako kwani nimekuwa nikitoka nje ya ndoa yangu kuitafuta starehe ambayo sikupenda kuipata nje zaidi ya mume wangu."
"Tatizo hilo mume wako analijua?"
"Analijua lakini hataki lijulikane kwa watu zaidi ya kuwa siri yetu wawili."
"Lina muda gani?"
"Mmh! Tangu alipoukwaa uheshimiwa."
"Kwani wewe ni mke wa nani?"
"Wa kiongozi wako wa nchi."
Kauli ile ilinishtua na kujiuliza ina maana kiongozi wangu wa nchi ndiye mwenye tatizo zito kama lile. Nilijikuta nikitetemeka baada ya kujikuta nikiwa mbele ya mke wa mkuu wa nchi. Baada ya kuyagundua mabadiliko yangu alinituliza.
"Mzee wangu punguza presha upo huru kutoa msaada wowote kwangu nakuahidi kukupa chochote ukitakacho ili kutatua tatizo hili. Nisingekuwa mke wa mheshimiwa wala nisingesumbuka kuja huku ningeendelea na kidumu changu."
"Unasema wewe mke wa mheshimiwa unawezaje kutoka nje ya ndoa yako?"
"Mara nyingi hutumia mlinzi wa mume wangu ambaye naye huficha siri hii, naamini kabisa penzi halina siri wasiwasi wangu mume wangu akigundua natembea na mlinzi wake anaweza kumuua na pengine mimi kuingia katika kashfa."
"Umesema mumeo anatambua tatizo lake?"
"Ndiyo."
"Amelishughulikia vipi?"
"Kila akirudi ziara zake huja na dawa za kumeza lakini hazimsaidii lolote, nimemueleza ajaribu miti shamba amekataa kwa vile anaamini waganga wa mjini ni waongo."
"Tatizo lipo katika kumpa dawa kwa vile asilimia ya chakula chote kinatayarishwa katika umakini wa hali ya juu hivyo dawa zetu hazina nafasi."
"Huna dawa hata ya kumpaka sehemu zake za siri usiku akiwa amelala nimpake?"
"Mmh! Dawa hiyo ni nzuri kama mwenyewe anatambua kwa vile kuna dawa nyingine ya mizizi nakuambia akinywa lazima akeshe juu ya kifua."
"Sasa huko si kukomoana hata raha ya mapenzi haitakuwepo?"
"Itakuwepo kwa vile umekosa raha hizo kwa muda mrefu nawe hutataka ateremke upesi kwani kuna dawa nikikupa itakuongezea hamu ya mapenzi."
"Si unipe."
"Tatizo la dawa ile unamchua mpaka bakora inasimama hapo mnaanza mapenzi kwa wiki tatizo lote linakwisha kabisa."
"Mmh! Kwa njia hiyo haitawezekana kama nilivyokueleza bado anaamini dawa za kizungu zitamponya."
Nilitulia kwa muda na kuwaza jinsi ya kumsaidia mke wa mkuu wa nchi ambaye aliamua kujivua nguo mbele yangu ili kupata tiba ya mumewe kuishiwa nguvu za kiume. Dawa iliyokuwepo ilikuwa ya kuingiza sehemu za siri ambayo ingemsaidia pale anapokutana na mumewe bakora isiweze kupoa haraka.
Niliamini kwa vile anatoka nje ya ndoa yake na mlinzi wa mumewe basi angetumia dawa ile wakati wa kuiba basi yule mwanaume aitumie kisha aweze kwenda kukutana na mumewe.
Japokuwa ilikuwa dawa ambayo inatakiwa kutumiwa na watu wanaotaka kutatua tatizo kwa makubaliano kwa vile hakukuwa na jinsi niliamua kutumia njia ile kuokoa ndoa ya mke wa mkuu wa nchi.
"Sasa mama kuna dawa moja ambayo nina imani inaweza kukusaidia."
"Dawa gani hiyo?"
"Kuna dawa nitakupa kabla ya kukutana na mumeo inatakiwa uiingize ndani kwa kumtumia mwanaume, kama mumeo angekuwa yupo tayari wala usingepata shida ungempaka na yeye kuingiza ndani ingewasaidia, lakini kwa vile hataki kutumia dawa tunazoziamini zitamaliza tatizo itabidi ujitahidi siku ya kukutana na mumeo uanze kukutana na mlinzi wake ili kuingiza dawa ndani."
"Mmh! Si nitaonekana nimetumika?"
"Hapana, ataingia taratibu bila kufika mwisho ili kuingiza dawa tu kisha unakwenda kukutana na mumeo bila kuonesha kasoro yoyote."
"Mmh! Sasa hivi siwezi kufanya hivyo, huwa nakutana naye kwa siri sana."
"Sasa tutafanyaje?"
"Nakusikiliza wewe."
"Hakuna njia yoyote, labda awepo mtu mwingine bila hivyo dawa hiyo itashindikana."
"Kwa kweli sina, kama unavyojua mimi ni mke wa mheshimiwa natakiwa kujiheshimu sana siwezi kuutoa mwili wangu ovyo."
"Mmh! Kuna njia moja ambayo nimewasaidia wanawake wengi waliokuwa na wanaume wabishi kama mumeo...lakini kwa wewe siyo nzuri."
"Jamani mganga nisaidie na mimi nipo tayari kufanya unavyotaka ili kuishi katika ndoa ya furaha. Nitakupa hata zawadi ya nyumba na gari nisaidie mganga," Mke wa mheshimiwa alisema huku akionesha dalili za machozi kuonesha tatizo lake ni zito sana.
"Mara nyingi nimekuwa nikiwawekea mwenyewe na mwisho wa siku ndoa zao zimesimama. Lakini kwa vile wewe mke wa mtu mkubwa siwezi, nakuheshimu pia namuheshimu mkuu wa nchi."
"Mganga ukuu ni cheo lakini ubinaadamu uko palepale, raha anazozipata mke wa mheshimiwa hazipishani na mtu wa kawaida hata maumivu ya moyo ni yaleyale wote tuna moyo wa nyama. Naomba nami unisaidie."
"Naweza kukusaidia lakini naona kama utajishushia heshima."