Joto la mafanikio ya Serikali ya Magufuli laanza kuigwa na nchi zingine

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,967
Mafanikio ya nchi yetu na mabadiliko katika hali ya kubadi;lisha mambo na utendaji wa mambo na hasa KASI ya Rais Magufuli katika kuleta MAENDELEO, imeanza kuigwa hata na jirani zetu.
Tayari nchi ya Uganda imeamua kufuata mkondo wa Tanzania katika kuliamsha shirika la ndege la Uganda kwa kununua ndege 6 KWA MKUPUO ambazo zitakuja kwa awamu. Ndege nne aina ya Bombadier CRJ 900 ZITATANGULIA.

Zikifuatwa na ndege kubwa aina ya A 300-200 { Air bus}
Hii inatufanya watanzania tujivune kidogo kwamba juhudi za za Magufuli si za bure. Japokuwa NABII hapati heshima nyumbabni kwake.

Wengi wamesema mengi sana kuhusu ndege zetu. Sijui sasa watasema nini?
Jamani hili ni jambo ambalo kila Mtazania mpenda maendeleo ni lazima alifurahie.
Maana joto la Magufuli laanza kuwa felt na kuigwa UKANDANI.

Pia nchi ya jirani yetu kaskazini nao wameanza mpango wa kununua MABASI ya MWENDO kasi.
Tayari inasemekana barabara zimetengwa rasmikwa ajili ya majaribio ya mabasi kama yetu.
Je wana jamvi hatuoni kuwa nasi TUNAIGWA tufurahi?
Tanzania hoyeeee!!
 
ebu nenda kumulize huyo kagame role mode wake jiwe aliyemshauli kununua midege hiyoo kilicho mkuta/uko ktk Dunia gani brother eehh?
 
Mafanikio ya nchi yetu na mabadiliko katika hali ya kubadi;lisha mambo na utendaji wa mambo na hasa KASI ya Rais Magufuli katika kuleta MAENDELEO, imeanza kuigwa hata na jirani zetu.
Tayari nchi ya Uganda imeamua kufuata mkondo wa Tanzania katika kuliamsha shirika la ndege la Uganda kwa kununua ndege 6 KWA MKUPUO ambazo zitakuja kwa awamu. Ndege nne aina ya Bombadier CRJ 900 ZITATANGULIA.

Zikifuatwa na ndege kubwa aina ya A 300-200 { Air bus}
Hii inatufanya watanzania tujivune kidogo kwamba juhudi za za Magufuli si za bure. Japokuwa NABII hapati heshima nyumbabni kwake.

Wengi wamesema mengi sana kuhusu ndege zetu. Sijui sasa watasema nini?
Jamani hili ni jambo ambalo kila Mtazania mpenda maendeleo ni lazima alifurahie.
Maana joto la Magufuli laanza kuwa felt na kuigwa UKANDANI.

Pia nchi ya jirani yetu kaskazini nao wameanza mpango wa kununua MABASI ya MWENDO kasi.
Tayari inasemekana barabara zimetengwa rasmikwa ajili ya majaribio ya mabasi kama yetu.
Je wana jamvi hatuoni kuwa nasi TUNAIGWA tufurahi?
Tanzania hoyeeee!!
Ndege kwako ndio Maendeleo?

Watanzania hawapiti 5% tu ndio watumiaji wa usafiri wa Ndege, kichwa chako kizima wewe?

Si bora hata angeshugulika na tatizo moja tu la MAJI lililotamalaki mijini na vijijini kwenye Nchi nzima angekuwa amefanya la maana
 
Kizazi chetu lazima kifikie mahali kitoe tafsiri ya maendeleo kana kinavyoona chenyewe.
Sasa kama umefikia mahali hata kununua ndege nayo yanaitwa maendeleo ujue hali imeshakuwa tete aiseh
 
Acha wanunue,wew c unahici ndege ndo maendeleo haya kaipande sasa hyo aliyonunua mkulu kama utaweza unaish chn ya 1$ halafu unafurahia mambo yasiyo ya msingi
 
Wee bwege Ndege kwako ndio Maendeleo?

Watanzania hawapiti 5% tu ndio watumiaji wa usafiri wa Ndege, kichwa chako kizima wewe?

Si bora hata angeshugulika na tatizo moja tu la MAJI lililotamalaki mijini na vijijini kwenye Nchi nzima angekuwa amefanya la maana..?!

Endelea kutumia masaburi yako kufikiri.
Kwani huoni mikaklati ya maji inavyoshughulikiwa?
Kwani unaishi wapi wewe?
Naona huoni.
 
Acha wanunue,wew c unahici ndege ndo maendeleo haya kaipande sasa hyo aliyonunua mkulu kama utaweza unaish chn ya 1$ halafu unafurahia mambo yasiyo ya msingi
Maendeleo ni ya aina mbali mbali.Yakiwemo ya
1. Watu
2.Maji
3.Kipato.
4,Miundombinu
5.Usafiri zikiwemo NDEGE nk.
Kwani wewe unafikiri maendeleo ni MAJI pekee?
 
Wee bwege Ndege kwako ndio Maendeleo?

Watanzania hawapiti 5% tu ndio watumiaji wa usafiri wa Ndege, kichwa chako kizima wewe?

Si bora hata angeshugulika na tatizo moja tu la MAJI lililotamalaki mijini na vijijini kwenye Nchi nzima angekuwa amefanya la maana..?!

Endelea kutumia masaburi yako kufikiri.
Mkuu, mimi si bwege. Bali natoa maoni tu.
 
Kizazi chetu lazima kifikie mahali kitoe tafsiri ya maendeleo kana kinavyoona chenyewe.
Sasa kama umefikia mahali hata kununua ndege nayo yanaitwa maendeleo ujue hali imeshakuwa tete aiseh
Watanzania sisi ni wabishi sana. Kwani kununua ndege ni kurudi nyuma ama kwenda mbele?
 
Learn from the best, je tumefanikiwa?
Hao Uganda tayari watakuwa wameshatupita kwa kuwa Na fleets nyingi
Tumejaribu hata hivyo mkuu.
Kumbuka shirika lao lilikuwa limeanguka hata kuzuiwa kuingia nchi kadhaa.
Sisi tumejaribu mkuu. Na ndo maana tunawapa jirani zetu nao wawe kama sisi.
 
Back
Top Bottom