Kwann viongozi wa africa usingeichukulia hili swala kuwa agenda yako kuwashinikiza hao magharibi kusain huo mkataba,au kwa kuwa viongozi wetu wanalala pembezoni mwa bahari wanaacha kutusimamia hao wataalamu wangekuja wapime joto LA Jana vingungut,manzese,tandale LA Kilimanjaro lingesubir kutokana na nyumba zilivyoshonana,yani joto LA dar wanapima obey na mbezi beach wanatoa takwimu hiyo September vipimo wavichukulie uswaziMkuu nadhani kuna kitu kinafichwa hapo.
hatujajua hadi sasa ni size gani ya OZONE imeshapotea. maana Nchi za magharibi hususani Marekani zimegomea kusaini mkataba wa Kyoto kupunguza joto duniani. Wao wanazalisha sana gesi ya ukaa ambayo inamaliza ozoni ye dunia.
Northern lights nahisi zitakuwa zimeongezeka sana
mie jasho limeniishia cjui kitakachonitoka nnipo isiku litatoboa utosi.
They say be careful and kind to the people on your way up because you will meet them again on your way down...Mimi sikulisikia kabisa hilo joto kwa sababu nyumbani kwangu nina AC, kwenye gari kuna AC, ofisini kuna AC, kwa hiyo kwa hali kama hiyo joto mnasikia nyie walalahoi tu. Mtaisoma namba
Mimi sio mwenzako mkuu hata humu jf naongea na wewe mlalahoi kwa ajili ya kupoteza muda tu, lakini mimi sio mtu wa kawaida pole sana kwa shida zako mkuu teteeteteteeeeeThey say be careful and kind to the people on your way up because you will meet them again on your way down...
Aisee kumbe unaweza kuona Avatar ya member humu na kuweza ku define status yake mtu mkuu??Mimi sio mwenzako mkuu hata humu jf naongea na wewe mlalahoi kwa ajili ya kupoteza muda tu, lakini mimi sio mtu wa kawaida pole sana kwa shida zako mkuu teteeteteteeeee
itakuwa maeneo kichogoni.K
Kwani miaka mingine jua linakuwa wapi mwezi na tarehe kama hizi? Mbona joto haliwi hivi?
Nilifikiri utasema wewe ni kiziwi ndio maana hukulisikia.Mimi sikulisikia kabisa hilo joto kwa sababu nyumbani kwangu nina AC, kwenye gari kuna AC, ofisini kuna AC, kwa hiyo kwa hali kama hiyo joto mnasikia nyie walalahoi tu. Mtaisoma namba
Unafanya kama yanga na simba tu.Duuuuu sasa kama joto lilikuwa kali kihivyo unapiga vipi mechi na kufungana magoli