Joto Kali Dar

Joto Kali Dar

K

Kwani miaka mingine jua linakuwa wapi mwezi na tarehe kama hizi? Mbona joto haliwi hivi?
Good question great thinker... Jibu lipo hapo kwenye page ya pili... Maelezo kuhusu ongezeko la joto

ImageUploadedByJamiiForums1458566909.125009.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1458566931.970772.jpg
 
chanzo ni uharibifu wa mazingira
Safi mkuu,umeweka fact.
Yaani wanamazingira kila siku wanapiga kelele juu ya hilo,na nikwa miaka mingi sana.
Na ukizingatia sana miji mingi inapoteza ile misitu ya asili kwa ukuwaji wa miji yetu na kutokuwa na mipango madhubuti ya kuitunza misitu yetu ile mikubwa na midogo ya ndani ya miji
 
Jana jua lilikuwa ni la utosi, kwa mujibu wa wataalam wa hali ya hewa walisema jua lilikuwa karibu sana na Ikweta kuliko kipindi chochote cha mwaka. Hali hii itajirudia September.

Naamini wataalam wa tabianchi watatupa elimu hapa
Mkuu ebu tupe no za watu wa huko IKWETA ili watuthibitishie kama ni kweli unacho kinena, otherwise ata wewe ni jipu tu sasa maana hakuna namna.
 
Caused by climate change. Haya ni matokeo ya massive production za green house gases.
 
Mabadiliko ya hewa .... Nyie mnalia na 35~39 ` Jee siye wa 47`~52` huku nusu jehanamu???
 
We acha ujinga,mungu amekupa akili ya kufiri kichwani na sio huko.
Kila kitu Siasaaaa tuu,fikiria mengine,Sasa kazi tu na maisha yanaendelea,uzi unamengine wewe unaleta ya ajabu,waalim walikuwa na kazi kweli.

Yehova alitoa mapigo kumi kwa Farao na Wamisri pale Farao alipokataa kuwaachia Waisraeli kutoka utumwani.Ilikuwa ni dhuluma ya Farao kwa Waisraeli.Soma Biblia Kutoka 5:1-6:1 au Exodus 5:1-6:1
 
Caused by climate change. Haya ni matokeo ya massive production za green house gases.
Mkuu
hebu nielimishe ktk hili la green houses kuhusika.

Ni kweli kuna green houses nyingi sana dar kwa sasa ambapo sidhani kama hali ya hewa iliyopo ni hatarishi hadi tukaanza kukimbilia green houses kufanya veg gardening
 
Safi mkuu,umeweka fact.
Yaani wanamazingira kila siku wanapiga kelele juu ya hilo,na nikwa miaka mingi sana.
Na ukizingatia sana miji mingi inapoteza ile misitu ya asili kwa ukuwaji wa miji yetu na kutokuwa na mipango madhubuti ya kuitunza misitu yetu ile mikubwa na midogo ya ndani ya miji
miaka michache iliyopita ktk barabara ya morogoro kuanzia manzese hadi usalama kila upande kulikuwa na miti, waliopanda walikuwa na akili sana lakini ndo hivyo tena haina jinsi, na hali hii ikiendelea hivi miaka ijayo hiyo o-zone kadri inavyopungua ndivyo tutazidi kuipata joto ya jiwe
 
Mkuu
hebu nielimishe ktk hili la green houses kuhusika.

Ni kweli kuna green houses nyingi sana dar kwa sasa ambapo sidhani kama hali ya hewa iliyopo ni hatarishi hadi tukaanza kukimbilia green houses kufanya veg gardening

Oooh sawa green house gases eg. Co2, methane CH4 etc hizi kazi yake kwenye anga ni kutrap uv light na kugenerate joto ambalo linashuka duniani bila hizi gases dunia kusingekuwa na maisha dunia ingekuwa baridi sana.

Sasa kutokana na human activities now days production ya hizi gases umekuwa mkubwa kutoka moshi viwandani, magari, kusafisha mafuta, kilimo n.k
Sasa kuongezeka kwa hizi gases angani zimeongeza ability kubwa ya kutrap more suv light hence ongezeko la joto duniani na mabadiliko mengine mengi ya tabia ya nchi.

Kwahiyo hili joto ni sbb ya climate change ndio maana huoni sio dar tuu jana mkoa kilimanjaro umevunja record ya kiwango kikubwa cha joto.

Thkx
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Back
Top Bottom