yani mapolisi na ubaba wao wote eti wanakaogopa haka katoto Nassary(26), duuuuuu kweli hii serkali ni legelege.
Bila samahani ndugu yangu, nilishakusamehe kabla hujawaza kuandika post yako!
Ila tu nikukumbushe kuwa, Dr. Slaa na Chdm inaheshimu sana mawazo yako kama shabiki au mwanachama katika kuimarisha chama. Kudhania kuwa raia hana mchango wowote katka uwajibikaji wa viongozi ndiko kulipotufikisha hapa tunapopalalamikia leo.
Nakushauri, acha ushabiki tumia mantiki katika kuhoji mambo! Pole sana kwa kujidharirisha, ila usiumie sana bado una nafasi ya kuonesha kuwa unaakili, uliteleza tu na hukuanguka, kama alivyoteleza Nassari.
Mungu wetu anaita!
Well said my brother,
Niliandika pia siku ya kwanza kabisa kuwa nasary bado mdogo na ni mchanga sana katika siasa. Pia nilisema kuwa nafasi
Ubunge aliyoyano imemzidi umri na uwezo i mean sio saizi yake.
At least umenena kweli.
Ni kwa watu kama wewe pekee ndio jamii hupata manufaa ya kweli.
Well done my brother.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Lakini nadhani nchi hii inahitaji watu watakaotibua hali ili watawala wetu wapate akili. Nakumbuka kuna wakati Mh Mbowe alisema inabidi wakati fulani pawe na Civil disobedience, je utasema Mbowe alikosea? Ni kwa sababu utawala uliopo hauwezi usikia vilio vya watu bila kauli kali kama hizi. Kwa nchi yenye demokrasia ya kweli na iliyotulia, na ambayo viongozi wake ni wasikivu kwa matakwa ya raia wake, kauli ya Nassari ingekuwa mbaya sana, lakini si kwa serikali kama yetu, ambayo kwa kutumia jeshi la polisi wanaifichia CCM ukweli wa mauaji wanayoyafanya kwa viongozi na makada wa vyama vya upinzani.
Natamani kauli kama hizi ziwe nyingi ili kuwaamusha wananchi na kuifanya serikali hii izinduke. Msimamo wangu siku zote ni kuwa CCM haindoki kwa lugha laini laini, lazima iambiwe maneno magumu ambayo hata wakiyasikia masikio yawe yawashwe.
Wito kwa Polisi wetu; acheni kufuatilia mambo yasiyo na umuhimu na kujaribu kuyakuuuuuza; kumbuka walivyomkamata Mbowe kule Dar na kumpeleka Arusha, nguvu kubwa inatumika kwa mambo madogo sana. Wao wanajua kuwa pamoja na Nassari kutamka yale maneno, hana uwezo wa kufanya lolote, ama wananchi wa Arusha hawawezi kufanya chochote kwa kauli ile; kwa nini msifanye mambo muhimu kwa nchi hii?
Kina Ritz wanamwona Nassary ni mtu mkubwa sana. Ni waoga hujapata kuona
Chalii nae aonyeshe amekua,aache maskhara kama ni kweli amepayuka,naamini atakuwa mfano bora kama kiongozi kijana!
Wakili Albert Msando akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya Jeshi hilo mkoani Arusha akiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Joshua Nassari (Chadema) alipojisalimisha Polisi baada ya kutakiwa kujisalimisha.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA
JOSHUA NASSARI ARIPOTI KITUO KIKUU CHA POLISI MKOANI ARUSHAGUMZO LA JIJI
Mwee kweli jinga"Majina uumba" ovyo! kada mkubwa wee!!
I can't believe this. Kwamba Polisi wamemhoji Nassari for 6 hours! Walikuwa wanamhoji kitu gani hasa WASICHOKIJUA????
Hakika HATUNA POLISI NCHI HII! Hivi huyu dogo na MANENO ALIYOTAMKA KUWA ANAWEZA KUMZUIA RAIS WA NCHI JAKAYA KIWETE ASIKANYAGE ARUSHA YANA UKWELI WOWOTE HAPO????Kwa ujinga wa Polisi wetu wanayaona haya maneno kama DEAL na issue nzito ya kupotezea muda!!!!...
Kwa hiyo tunaweza kuhitimisha kwa kusema kuwa KAMA JOSHUA NASSARI NA WAFUASI WA CDM ATAWEZA KUMZUIA KIWETE ASIKANYAGE 'A' TOWN,THEN HATUNA JESHI LA POLISI,HATUNA UWT,HATUNA JWTZ NA KWA MAANA HIYO HATUNA SERIKALI. MAANA YAKE NI NINI??NI WAKTI WA CHADEMA KUCHUKUA NCHI. Pambaf!
Ni mkubwa sana kimamlaka, ni mwakilishi wa wanaarumeru wa mashariki wote, pia wengi vijana wameshamfanya kama role model wao, unaweza kufikiria kauli yake imezaa nini kwa watu hao? Hata kama alikuwa na lengo la kuhamasisha mikoa mingine, tafsiri hiyo imo nafsini mwake tu, ni njia ya kitoto na haina mantiki, kwanini asiombe radhi tu aeleweke yaishe! Ndugu we sijui umechambua kwa ujumla upi? Usitumie hisia zako kwake, utaishia kumtukana, au kumpa sifa za kijinga. TUMIA MANTIKI!
Mungu wetu anaita!
Bila samahani ndugu yangu, nilishakusamehe kabla hujawaza kuandika post yako!
Ila tu nikukumbushe kuwa, Dr. Slaa na Chdm inaheshimu sana mawazo yako kama shabiki au mwanachama katika kuimarisha chama. Kudhania kuwa raia hana mchango wowote katka uwajibikaji wa viongozi ndiko kulipotufikisha hapa tunapopalalamikia leo.
Nakushauri, acha ushabiki tumia mantiki katika kuhoji mambo! Pole sana kwa kujidharirisha, ila usiumie sana bado una nafasi ya kuonesha kuwa unaakili, uliteleza tu na hukuanguka, kama alivyoteleza Nassari.
Mungu wetu anaita!
Mmhhh !!
View attachment 53889
Ila mathalani ukiambiwa uchague 'siasa za kanda' na siasa za 'kudadadeki !!!' utachagua nini ???
Oooops !! Nilitaka kusahau ... Hiyo 'Kudadadeki' ni kwa hisani ya huyo jamaa hapo kwenye picha !!!
jinga kwanini una amini sana kwamba kuna mantiki kwenye hoja zako, na za wengine ni ushabiki ama hisia? Hapa umetumia hoja yenye lengo la kumshushua mwenzako. Pia huo msamaha wako umewai sana kuutoa, aina iyo ya misamaha husukumwa na kiburi tu! Na sijui ni Mungu wetu yupi huyo anaye ita, na anaita mwito gani! Kama ni YAHWE, naomba tuongee nje ya JF.
Ndugu, msamaha wangu wala sio wa kiburi hata kidogo, ni kutoka moyoni japo najua amenikosea, siwezi kumlaumu!
Nimesema tutumie mantiki ya mambo, ila sio ushabiki na hisia, mimi na kwa wengine! Sidhan kama kuna mantiki yoyote katika matusi, au kumuhukumu mtu kisa tu hajasema kile unachokifurahia. Tukosoane ila kwa hoja, na si vinginevyo.
Kweli..."MUNGU WETU ANAITA" LAZIMA TUITIKE KATIKA UMOJA NA KUTHUBUTU.
Labda ni Yahwe.... Lakini nachojua ni Mungu wetu aliye hai! Nitajitahid kukutafuta, nivumilie tafadhali!
Ukishabikia siasa, kubali kuanguka na kunyanyuka, imo!
Mungu wetu anaita sasa!