Joshua Nassari MB.



Mwee kweli jinga"Majina uumba" ovyo! kada mkubwa wee!!

 

Nope! mdai haki yeyote! huuitwa majina mbaya! kama vile gaidi, mhaini etc!! apelekwe mahakamani kama kakosea! He is a freedom fighter!!
 

Ndugu, nadhani hujaichunguza kauli ile! Naweza kuamini kuwa alikuwa anaishinikiza serikali, lakini ukweli huu pia hauwezi pingika..."kauli inapinga umoja tulionao, inaamsha chuki ya watanzania wengine dhidi ya wameru, inajenga picha mbaya kwa chama, inakiuka utaifa wetu" Mbowe hakuwa na maana hiyo, civil disobdience ni kama zile zinazotokea Mbeya, wamerusha mawe, watu kugoma, nk. Lakini huku kwa Nasari sio kuikomoa serikali, bali ni kuwakomoa watanzania wengine! Kwanza atakuwa hajashinda vita, ila ameikimbia, na chuki ambayo itaibuka kati ya watz na wameru sio ya kuizima na maji. Ndio maana nilikuja na mawazo hayo, kuimarisha umoja kumshinda adui yetu. Yalikuwa mawazo yangu mimi, sio amri!
Mungu wetu anaita!
 
Bwana RAGE alipanda na bastola Igunga jeshi halikuona,bwana Mkama akatoa kauli nzito za makomando na walikopata mafunzo bila vielelezo polisi wakaishia kusema CDM iwashtaki kwani wao hawajui,leo kijana kasema hli neno wao wamelipandia juu.Ukweli ni kwamba CCM wanawatumia polisi kuwatishia watanzania wasifuate njia ya haki lakini hatuchoki kama GADDAF na wenzake walishindwa na utajili wao wote na nyie magamba mtashinwa tu.Ebu ona kesi za kupinga uchaguzi zlivyo kibao kwa USHINDI WA CDM alafu wanajitetea kutohuska na mauaji wakati mnakataa ushindi wa kweli.POLENI MAGAMBA MAANA HAMNA TENA JIPYA.WATU WANAJUA KUWA MNAWADANGANYA KWA VISINGIZIO VISIVYO NA MASHIKO.NA MKOME KUTUDHARAU WATANZANIA KANA KWAMBA HATUNA MACHO HATUONI!
 
Kina Ritz wanamwona Nassary ni mtu mkubwa sana. Ni waoga hujapata kuona

Mtawala ambaye sera zimemuishia njia ya mwisho ni kutumia rungu na mabavu ya dola ili kupunguza makali ya wapinzani wake. Subiri mengi tutayaona.
 
Mwee kweli jinga"Majina uumba" ovyo! kada mkubwa wee!!


Kweli, ukikosa akili duniani borakufa. Jinalo laumba nini mwenzangu? Mimi mwenzio jinga kweli, wewe?
Ficha upuuzi wako, na si hekima yako "invisible" amenena!
Mungu wetu anaita!
 

Hapa unaona waziwazi kabisa kwamba dola na mashabiki wake wamekuwa kama mfa maji kapata unyasi wa kushikilia. Mh. Nassari kateleza kikawaida kabisa kama ilivyo kwa wanasiasa wetu wengi. Basi tungeshtuka sana enzi zile Mh. Sumaye alipowataka wafanyabiashara wajiunge na CCM wakitaka mambo yao yawaendee safi. Kusema kwamba kauli ya Nassari inatishia amani ya nchi ni unafiki wa hali ya juu na ubabaishaji. Ingekuwa CHADEMA wamesema ndio msimamo wa chama ingekuwa habari nyingine. Nassari anatakiwa kupewa mawaidha na chama chake kuhusu kauli maridhawa za kisiasa; sio kupigiwa kelele zote hizi zisizo na mashiko kwenye media!
 

asante
 

jinga kwanini una amini sana kwamba kuna mantiki kwenye hoja zako, na za wengine ni ushabiki ama hisia? Hapa umetumia hoja yenye lengo la kumshushua mwenzako. Pia huo msamaha wako umewai sana kuutoa, aina iyo ya misamaha husukumwa na kiburi tu! Na sijui ni Mungu wetu yupi huyo anaye ita, na anaita mwito gani!
 

Ndugu, msamaha wangu wala sio wa kiburi hata kidogo, ni kutoka moyoni japo najua amenikosea, siwezi kumlaumu!
Nimesema tutumie mantiki ya mambo, ila sio ushabiki na hisia, mimi na kwa wengine! Sidhan kama kuna mantiki yoyote katika matusi, au kumuhukumu mtu kisa tu hajasema kile unachokifurahia. Tukosoane ila kwa hoja, na si vinginevyo.

Kweli..."MUNGU WETU ANAITA" LAZIMA TUITIKE KATIKA UMOJA NA KUTHUBUTU.
Labda ni Yahwe.... Lakini nachojua ni Mungu wetu aliye hai! Nitajitahid kukutafuta, nivumilie tafadhali!
Ukishabikia siasa, kubali kuanguka na kunyanyuka, imo!
Mungu wetu anaita sasa!
 
nchi iitweje?tanga,kilimanjaro,arusha manyara,mara mwanza na kagera du bonge la nchi.
hata kagame haoni ndani kwa maendeleo.
kama zanzibar wanataka nchi yao sijui itakuwaje na hawa wakitaka hii nchi.\

yaani ni full amerika.
 
Kigarama,unafahamu maana ya verbatim?Huoni mjadala ungekuwa vyema baina yetu kama ungeweka hayo maneno kama alivyoyasema?
jmushi1 naujua sana lakini nashangaa tangu lini tumeanza kudaiana ushahidi wa neno kwa neno badala ya kujadiliana kwa hoja?
 
Last edited by a moderator:

hotuba ya Nassari pale NMC ililenga kulaani mauaji ya mwenyekiti wa CDM Usariver, ambayo hayaja shughulikiwa ipasavyo. Kuna wabunge wa CDM walicharangwa mapanga, na jeshi la polisi lipo kimya. Nassari alitishia kujitenga au kumpiga raisi marufuku, lakini uchambuzi wako wenye "MANTIKI" na wengine wengi mnachambua kama kwamba tayari ameshatoa tamko rasmi la huko kujitenga! Alisema KAMA, polisi wasipo shughulika kuwapata wauaji na kuwachukulia hatua.... Labda hatuna "MANTIKI", tunaongozwa na hisia na ushabiki, lakini nashawishika kuamini kwamba Nassari alisukumwa na mauaji ambayo yana sura ya visasi vya kisiasa na ubutu wa polisi kufanya kazi yao kutoa kauli tunazotumia kumhukumu. Ndo maana naomba tuangalie context kabla ya kufanya hitimisho la uchambuzi wa maneno.
Mimi ni mfuasi na muumini wa Mungu aliye hai, na jina langu hapo juu ni halisi, and I gave you my number. Sina unafiki, na siyo mwanachama wa CDM, lakini naijua haki na ntasimama kwenye haki tu.
 
:baby:Kamanda Nasari songa mbele usirudi nyuma wala kutishwa nao hao polisiCCM
 
jmushi1 naujua sana lakini nashangaa tangu lini tumeanza kudaiana ushahidi wa neno kwa neno badala ya kujadiliana kwa hoja?
Kigarama, sasa utajadili hoja ya "Mtu kasema kitu" halafu kitu hicho alikichosema mtu huyo hukiwezi wazi kwenye mjadala?Utakuwa unajadili kitu gani sasa?
 
Nyota ya Nassari kama kionozi kijana wa kuwakilisha vijana wa leo imeingia dosari kubwa.
Siwezi kumuweka Nassari katika kundi moja na Zitto intellectually ni kama mbingu na nchi.

Mwanasiasa anapoongea juu ya kujitenga kimsingi huo ni uhaini. Anapopata upport toka kwa wanachama wake hii inamwongeze matatizo na kuonyesha kuwa anacho propagate may come to reality.

Na hapo ndio hatua kali zisizoeleweka zaweza kuchukuliwa kwa mtu huyu na watu wakisha poteza maisha katika sakata kama hili utetezi wa utoto , kama ilivyo kwa Lulu unakuwa hauna maana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…