Lakini pia niulize hivi ile harambee aliondesha akishirikiana na Lema ndio haya matunda yake?
Kwa lugha nyingine je pesa ailyopata kwenye harambee ilikuwa na lengo gani?
Itabidi nikutafute wewe.....Kuna mwarabu pale Maganzo shy ameshafirisika lakini kila siku anasifia injini ya ford aliyonunua mwaka 61 na iko juu ya mawe hamtofautiani.
Mkuu labda ni kweli unayosema........CDM hamna transparency kwenye maswala yahusuyo pesa!
wanaouana ni CCM au CDM???
Tuwekee kwanza ya kwako....mwenye cv yake mgombea ai post hapa jamvini
Wakifanya hivyo na damu iwe juu yao wote.Huyu anachinjiwa baharini huwezi amini, ngoja tusikilizie nguvu za Lowasa
Kwa hiyo watu wa Arumeru ni wavuta bangi natamani maneno haya ungeongea mbele yao uone kitu wana kufanya..aandae bange za kutosha kuwapa machalii wa arumeru tu atashinda kama alivyofanya Lema kwa machalii wa town!!
Mkuu hebu jibu hoja basi kama Great thinker, nani kakuuliza kuhusu EPA hapa?1. Ni kweli lakini hayakuhusu.
2. Kawaulize waliomchangia
Hiyo michango si sawa na wizi wa EPA kumsaidia "malaika" kwenye uchaguzi.
Mkuu I reserve my commentWe paulss hamnazo mbona kinaa unaleta issue gani hapa,lengo la harambee ilikuwa kunua mbuzi wa uganga............hakuna rangi mtaacha ona chaliii..........Nassari twende kazi kaka mpaka magamba walimbia kabla ya uchaguzi
Kuna siku tutakutana mkuu ngoja kwanza tukamilishe kazi iliyopo.Itabidi nikutafute wewe.....
Bwana mdogo sina wasiwasi naye ni mpiganaji haswa kwani ni wakazi wachache wa hapa Arusha wasiofahamu jinsi alivyochangia katika siasa za kimageuzi akiwa na Lema si arumeru tu bali hata hapa Arusha mjini. amekuwa na wakazi wa Arusha mjini nyakati zote za harakati za kuleta mabadiliko na ninaweza sema ni mwana mapinduzi wa kizazi kipya. Arumeru kazi kwao kwani ni imani yangu hawatamwangusha kwani alikuwa tayari kuwatumikia mwaka 2010 na sasa fursa imepatikana na Chadema imewarejeshea kijana wao. Tumpe ushirikiano ili alitwae jimbo kwa kishindo kwani ni dhahiri hapa CCM hawatashinda hata kama watakuja na helkopta 100
Lile gogoro ulilokuwa unalitangaza mbona sijaona matunda yake lazima urudishe chenji naona kazi unakushinda sasa.Pongezi sana Nassari kwa ushindi wa kishindo..
Isingewezakana hata kidogo kushindwa kwenye kura za maoni kwa nguvu aliyepewa na viongozi wa Chadema Arusha.
Lema, pamoja na wanachama wa Chadema zaidi ya 50 walimfanyia harambee Nassari, na kuchanga Sh10 milioni na magari manane.
Wagombea wengine walikuwa kama watoto yatima hakuna hata mmoja aliyechangiwa Bajaji au Toyo.
Huo uchaguzi wa kura za maoni ilikuwa sawa sawa kuwapambanisha Villa Squad na Real Mardrid...unategemea nini?
hivi kwenye hii thread watu wanamsikitikia Joshua Nassar au wanampongeza????