Josephine full ma-shopping LAS VEGAS

Josephine full ma-shopping LAS VEGAS

Wamewaachia chama chenu na 'kuwaachia' nchi yenu bado tu mnawafuatafuata na kuwajadili, BAVICHWA MAJI acheni umbea na upumbavu.
 
bavicha kwa vituko,picha ya miaka kumi nyuma ndo unaweka hapa......?.
 
sipati picha ,,,,,,,,asume huyu mama ange ukwaaa u first lady babu yetu vipi angehimili kweli au ingekuwa kama kina flani ambao wao wanaishi bongo wake zao wapo mbele
afisa mmoja taasisi ya rushwa mkewe siku zote yupo usa
kuna mchungaji mmoja [ex] cheo cha juu kkt mkewe siku zote alikuwa akiishi usa
 
jamani watanzania tumezidi kumezeshwa yaani huo mguu unaonyesha kabisa umeungwa means Photoshop imehusika ila jamaa wana comment tu. hii balaaaaa
 
naona mtu ambaye angekuwa firstlady kuwepo Vegas kama siyo!
 
Hiyo picha ni ya siku nyingi sana na inanikumbusha enzi zetu tulipokuwa tunapiga picha mbele ya fridge kama alivyopiga kwenye pikipiki ambayo ipo kwenye stand
 
Back
Top Bottom