Joseph Selasini: Tunapata wapi msuli wa kudai demokrasia ndani ya nchi wakati tunaonyesha mkakati wa kuizuia ndani ya chama?

Jiwe jana kasema haoni mtu wa "kujenga madaraja, SGR na Stigla," hiv kweli hata kibajaj akipewa urais akaamua kubambikizia watu kesi alafu baadae akawaita mezani wajadiliane ili watoke atashindwa kujenga hayo madaraja na barabara?
Fedha si msingi wa maendeleo; awamu zote zilizopita viongozi wake walikuwa na makusanyo lakini reli ya dsm to Kilimanjaro haikufufuliwa
 
Fedha si msingi wa maendeleo; awamu zote zilizopita viongozi wake walikuwa na makusanyo lakini reli ya dsm to Kilimanjaro haikufufuliwa
Na Huyo anayefufua alikuwapo huko baraza la mawaziri kwa miaka 115,
mtu huyo huyo na chama hicho hicho, shetani anamsingizia ibilisi na ibilisi anamsingizia pepo lakini wote ni wamoja.
ndugu yangu nakusikitikia wewe ni mmoja kati ya "mazombi" wa Tanzania, kwani aliyeua hiyo reli ni nani?
Si chui mnakula choroko ndio maana akili zinadumaa?

huwa hamuwazi kabisa, kama vile jamaa analeta kikokotoo, anakifuta mnamshangilia, anateua mtu anamfukuza mnashangilia.

Mfano alimteua Masaju kuwa AG,Masaju alikuwa wakili wa serikali kipindi jiwe akiwa waziri wa mifugo na uvuvi na alishikilia meli ya samaki, waliingia mahakamani na jiwe, jiwe alishindwa ile kesi alipopata uraisi kwa ngekewa akalipa fadhila kwa kumpa masaju u-AG, masaju hakuweza kitu akamtumbua na kumpa ujaji, hii ndio serikali inayoendeshwa kwa mihemko.
 
Ha ha alisema waliompa pole ni wengi kuliko kura zake ,kwahiyo anamashaka aliibiwa
Alivyokuja Mwanza kwenye kampeni zake, ali lala ka guest fulani hivi uchwara kwa wale wa Mwanza watapajua kako maeneo ya misheni barabara ya kwenda uwanja wa ndege. Kesho yake akaenda sehemu inaitwa Buswelu kulikuwa na wasikilizaji kama 40 hivi akamaliza kampeni zake then akaondoka. Ila alikuwa na ulinzi wa polisi. hahahahahahahahahaah
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Takataka za Mbowe zitakuja hapa na kutetea kwamba bila Mbowe chadema itakufa!

Yani watanzania sasa mnapaswa kujua kwamba siku Mungu akimchukua Mbowe chadema hakuna.
Na takataka za Lumumba ndiyo zinazoongoza kujadili habari za Chadema kwa nia ya kuleta mtafaruku.Mada zooote zinazohusu uchaguzi ndani ya Chadema humu JF zinaazishwa na vijakazi wa chakubanga. Analosema Selasini ni kweli lakini wahusika wanaozileta humu ni vijana wa Lumumba kwa nia ovu.
 
Tulishaonya kitambo ,kuwa chadema ni saccos tukapuuzwa
Onyaneni wenyewe msiojulikana hata jinsia zenu huko Lumumba
tapatalk_1564893878930.jpeg
 
Takataka za Mbowe zitakuja hapa na kutetea kwamba bila Mbowe chadema itakufa!

Yani watanzania sasa mnapaswa kujua kwamba siku Mungu akimchukua Mbowe chadema hakuna.
Ukilinganisha Na viongozi WA CUF Bwana Lipumba, UDP Bwana Cheyo Mbowe ameingia juzi tu. Kama Katiba inamruhusu mwacheni yaendelee. Wengi wanaopiga kelele hapa sio wanachama WA CDM Ni mamluki. Sisi WA Lumumba tuwaachie WA Ufipa mifupa yao ikiwakwama haituhusu.
 
Chadema kam chama kikuu cha upinzani hakikutakiwa kabisa kuwa na double standard yoyote.

Chadema na vyama vingine vya upinzani wanatakiwa waishi kwenye yale wanayoyahubiri(demokrasia) kwanzia ndani ya chama na kitendo cha wao kutoishi kwenye kile ambacho wanataka serikali ikifanye, inaonesha kuwa ni wanafiki,wamekosa moral authority na hawafai kuongoza nchi.

Tutabaki kusema watawala wanaiba kura na blah blah zingine kumbe upinzani unajikosesha wenyewe imani kwa wanainchi sehemu ndogo tu.
 
*Anaandika Joseph Selasini Mbunge Wa Rombo (CHADEMA)*


Nilikuwa nasoma tu lakini neno hili limenifanya kuandika kitu.

Chama hiki ni cha kidemokrasia. Tunapata wapi msuli wa kudai demokrasia ndani ya nchi wakati tunaonyesha mkakati wa kuizuia ndani ya chama.

Mhe Mbowe kafanya mengi sana ni ikweli usioweza kujificha au kufichwa. Sasa ni wapi kwenye katiba yetu imeonyeshwa uchaguzi usifanyike au kiongozi aliefanya mengi mazuri na mvumilivu apite bila kupingwa?

Mhe Mwambe ni kiongozi wa chama. Mkiti wa kanda ya kusini, mjumbe wa kamati kuu na mbunge. Kweli ni tendo la kiniidhamu kumtukana kiasi hiki? Na je kumtukana kunatoa picha gani kwa walio nje ya mfumo wa Chadema?

Leo tuko na Mhe Mbowe na tunafikiri hakuna mwingine. Je hatuungi mkono hoja zote za CCM dhidi ya Mbowe? Nilidhani akipata wagombea wenzake hata wanne na akapita ataimarika zaidi na chama kitaonekana kuwa cha kidemokrasia na kuuwa kabisa hoja za kina Kibajaji na Msukuma?

Tunasema Magufuli anasigina katiba na sheria za nchi. Kwani katiba yetu si inamruhusi kila mwanachama kugombea nafasi yoyote ndani ya chama? Kama nimekosea naomba maelekezo.

Comments nyingi zinamchafua Mkiti Mbowe kwa kuwa hajatangaza kugombea na najua kwa sababu wakati na ratiba haijatoka na wanaomsemea hajawaomba kufanya hivyo isije kufahamika ana kundi maana kuwa na kundi kwa wakati huu kwa mujibu wa taratibu ni kuanza kampeni kabla ya muda na unaweza kuchukuliwa hatua.

Kuhusu kushika ilani mbona kile ni kitabu tu? Mbona Waislam wanashika biblia ni wakristu? Hata shati la kijani mbona wengi waliokuwa CCM wanayo? Mhe Bulaya, Mhe Sumaye na wengine hawana?

Naomba matusi haya pelekeni au elekezeni CCM sio wenyewe kwa wenyewe na nadhani hata wanachama wengine waje tu chama kitachangiwa pesa za kutosha kupitia fomu za kugombea nadhani ni mil 5 si haba.
Nakupa kongole mh. Selasini. Kwa nchi za wenzetu ambako demokrasia imeimarika Mbowe alipaswa kuachia ngazi mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kumwingiza mamluki Lowasa kwenye chama na kisha ushindwa. Ndivyo alivyofanya David Cameron baada ya kushindwa Brexit. Mbowe aachie ngazi sasa kukinusuru chama.
 
Nakupa kongole mh. Selasini. Kwa nchi za wenzetu ambako demokrasia imeimarika Mbowe alipaswa kuachia ngazi mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kumwingiza mamluki Lowasa kwenye chama na kisha ushindwa. Ndivyo alivyofanya David Cameron baada ya kushindwa Brexit. Mbowe aachie ngazi sasa kukinusuru chama.
Nenda kagombee umtoe, tutakupa sapoti ndugu.

Kama ni kujiuzulu alipaswa Magu ajiuzulu baada ya kutaifisha korosho na kushindwa kuiuza.

kama ni kujiuzulu alipaswa SIMON SIRRO baada ya polisi kumuua Akwilina pale kinondoni.
Kama ni kujiuzulu alipaswa kangi lugola baada ya lori kupinduka morogoro na askari wake kutofika eneo la tukio kwa muda mpaka mafuta yakalipuka.
Kama ni kujiuzulu IGP/TISS wangejiuzulu baada ya LISSU kupigwa risasi na kikosi maalum cha BASHITE/WASIOJULIKANA na kungoa CCTV CAMERA .

Kama ni kujiuzulu angeondoka SPIKA NDUGAI anayefuta watu ubunge kinyume na sheria.

kakojoe ulale, nzi wa kijani
 
Katoa maoni yake WAZI ndio demokrasia. Hakudukuliwa wala hatohitaji kwenda kuomba radhi kwa kutoa mawazo, mitizamo yake. Wengi mnaotumwa na Nyapara wa barabara ambae amefanikiwa kujenga uoga na unafiki huko Lumumba, mtakuja juta kwa aibu.

Umatetea ujinga
 
Nakupa kongole mh. Selasini. Kwa nchi za wenzetu ambako demokrasia imeimarika Mbowe alipaswa kuachia ngazi mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kumwingiza mamluki Lowasa kwenye chama na kisha ushindwa. Ndivyo alivyofanya David Cameron baada ya kushindwa Brexit. Mbowe aachie ngazi sasa kukinusuru chama.
Huwezi fananisha Europe na Afrika kwa kila kitu. Tuna tofauti nyingi za kimsingi. Katika yote standard bearer wa demokrasia anatakiwa awe chama tawala na serikali yake kuhakikisha panakuwa na ushindani wa haki nje na ndani ya vyama na pia kuheshimu yale mliyokubaliana kama taifa (katiba).

Japo nakubaliana na mtazamo wa Selasini wa kuheshimu demokrasia na utu wetu. Ni jambo lenye tija panapokuwa na mashindano ya haki kwani mara nyingi uzaa tija.
 
Kune mtu anaitwa erythrocyte, huyo jamaa Mbowe akikohoa yeye anapatwa na homa ya kulala kabisa kitandani.

Aje amsome mbunge wa Rombo katika uzi huu, halafu aseme kama na yeye katumwa na CCM.
 
Eti Chama cha demokrasia na maendeleo-upuuzi !


Cecil Mwambe aliyetangaza Nia ya kugombea uenyekiti ili ashindane na Mbowe anatukanwa kama si Mbunge wao kule mitandaoni.


Baadhi yao 'wamtusio ' wamefikia hatua ya kumtusi yeye na familia yake kisa yeye kutangaza nia ile.


Mytake;Tuelezwe rasmi kama hicho chama ni cha kidkteta au la!
Jamaa wa ufipa ni kama zile katuni za watoto chini ya miaka 12, watakuja hapa ni kuulizia zile trilioni moja nukta tano zipo wapi.

Watakuja kuulizia nyumba za serikali zilizouzwa kipindi kile JPM akiwa waziri, hawajiulizi wala hawaumizwi na ya kwao.
 
Back
Top Bottom