Kama mnajua hivyo muueni basi!Takataka za Mbowe zitakuja hapa na kutetea kwamba bila Mbowe chadema itakufa!
Yani watanzania sasa mnapaswa kujua kwamba siku Mungu akimchukua Mbowe chadema hakuna.
Unaona kilivyo chama chako🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬🤬
Utofauti wa cdm na ccm ni kimoja kipo madarakani kingine ni upinzani basi
Aah kuna mtu huku anasema akiondoka kwenye uongozi..SGR,Ndege na Umeme hamna mtu wa kuviendeleza.Takataka za Mbowe zitakuja hapa na kutetea kwamba bila Mbowe chadema itakufa!
Yani watanzania sasa mnapaswa kujua kwamba siku Mungu akimchukua Mbowe chadema hakuna.
Kama akina Etwege,Barbosa wote wapo wanamtusi Mbunge waoEti Chama cha demokrasia na maendeleo-upuuzi !
Cecil Mwambe aliyetangaza Nia ya kugombea uenyekiti ili ashindane na Mbowe anatukanwa kama si Mbunge wao kule mitandaoni.
Baadhi yao 'wamtusio ' wamefikia hatua ya kumtusi yeye na familia yake kisa yeye kutangaza nia ile.
Mytake;Tuelezwe rasmi kama hicho chama ni cha kidkteta au la!
Inafikirisha sana hii.Utofauti wa cdm na ccm ni kimoja kipo madarakani kingine ni upinzani basi
kamanda Selasini ni CCM? jibuni hoja acheni kujichekeshaUzuri ni kwamba CCM mmekubali kuicheza ngoma ya Chadema hadi uchaguzi wa Chadema ufanyike.
Umemaliza mkuu, sins cha kuongeza. Chadema ilipaswa kuwa na muelekeo na mtindo wa demokrasia halisi ktk kuendesha siasa. Lkn loo!Utofauti wa cdm na ccm ni kimoja kipo madarakani kingine ni upinzani basi
Chama changu kipi mpendwa wangu? Mie changu ni kile cha Hashimu Rungwe, nakuhakikishia mwakani tutashinda kwa kishindo. 2015 CCM "walitubia" kura zetu, ilikuwa mzee Rungwe ashinde kabisaUnaona kilivyo chama chako
Millioni 5 kugombea uenyekiti wa chama!! Kweli life is expensive.*Anaandika Joseph Selasini Mbunge Wa Rombo (CHADEMA)*
Nilikuwa nasoma tu lakini neno hili limenifanya kuandika kitu.
Chama hiki ni cha kidemokrasia. Tunapata wapi msuli wa kudai demokrasia ndani ya nchi wakati tunaonyesha mkakati wa kuizuia ndani ya chama.
Mhe Mbowe kafanya mengi sana ni ikweli usioweza kujificha au kufichwa. Sasa ni wapi kwenye katiba yetu imeonyeshwa uchaguzi usifanyike au kiongozi aliefanya mengi mazuri na mvumilivu apite bila kupingwa?
Mhe Mwambe ni kiongozi wa chama. Mkiti wa kanda ya kusini, mjumbe wa kamati kuu na mbunge. Kweli ni tendo la kiniidhamu kumtukana kiasi hiki? Na je kumtukana kunatoa picha gani kwa walio nje ya mfumo wa Chadema?
Leo tuko na Mhe Mbowe na tunafikiri hakuna mwingine. Je hatuungi mkono hoja zote za CCM dhidi ya Mbowe? Nilidhani akipata wagombea wenzake hata wanne na akapita ataimarika zaidi na chama kitaonekana kuwa cha kidemokrasia na kuuwa kabisa hoja za kina Kibajaji na Msukuma?
Tunasema Magufuli anasigina katiba na sheria za nchi. Kwani katiba yetu si inamruhusi kila mwanachama kugombea nafasi yoyote ndani ya chama? Kama nimekosea naomba maelekezo.
Comments nyingi zinamchafua Mkiti Mbowe kwa kuwa hajatangaza kugombea na najua kwa sababu wakati na ratiba haijatoka na wanaomsemea hajawaomba kufanya hivyo isije kufahamika ana kundi maana kuwa na kundi kwa wakati huu kwa mujibu wa taratibu ni kuanza kampeni kabla ya muda na unaweza kuchukuliwa hatua.
Kuhusu kushika ilani mbona kile ni kitabu tu? Mbona Waislam wanashika biblia ni wakristu? Hata shati la kijani mbona wengi waliokuwa CCM wanayo? Mhe Bulaya, Mhe Sumaye na wengine hawana?
Naomba matusi haya pelekeni au elekezeni CCM sio wenyewe kwa wenyewe na nadhani hata wanachama wengine waje tu chama kitachangiwa pesa za kutosha kupitia fomu za kugombea nadhani ni mil 5 si haba.
Takataka za Mbowe zitakuja hapa na kutetea kwamba bila Mbowe chadema itakufa!
Yani watanzania sasa mnapaswa kujua kwamba siku Mungu akimchukua Mbowe chadema hakuna.
Eti Chama cha demokrasia na maendeleo-upuuzi !
Cecil Mwambe aliyetangaza Nia ya kugombea uenyekiti ili ashindane na Mbowe anatukanwa kama si Mbunge wao kule mitandaoni.
Baadhi yao 'wamtusio ' wamefikia hatua ya kumtusi yeye na familia yake kisa yeye kutangaza nia ile.
Mytake;Tuelezwe rasmi kama hicho chama ni cha kidkteta au la!
Ujanja aliofanya mbowe kusigina katiba ya chama inayomweka madarakani kwa miaka 20 sasa ndo mbinu hizo hizo ccm wameanza maandalizi ili ikifika 2024 nyimbo za tano tena kwa jiwe zianze kuimbwa kwa masipika makubwa.