Joseph Mbilinyi (Mbunge) a.k.a Sugu afunga ndoa rasmi.

Joseph Mbilinyi (Mbunge) a.k.a Sugu afunga ndoa rasmi.

Hongera zake nyingi tu. Ametimiza Agano la Mungu
 
Kwel pfunk amekasirika sijamuona mana nae mkongwe ahahahaha jokes kdg
 
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi amefunga ndoa leo na mpenzi wake Happiness Msonga.

Ndoa hiyo imefungwa katika Kanisa la Roho Mtakatifu, Parokia ya Ruanda jijini Mbeya. (Pichani mbunge huyo akiwa na marafiki zake akiwepo ProfessorJay.

View attachment 1194230
Bibi harusi yuko wapi? Au ni mmojawapo kati ya hao kulia na kushoto kwake?
 
Nilijua kafunga bomani, maana huyo mke wake ni mtalaka ana ndoa ya kanisani
 
Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi amefunga ndoa leo na mpenzi wake Happiness Msonga.

Ndoa hiyo imefungwa katika Kanisa la Roho Mtakatifu, Parokia ya Ruanda jijini Mbeya. (Pichani mbunge huyo akiwa na marafiki zake akiwepo ProfessorJay.

View attachment 1194230
Nadhani ni kubariki Ndoa,siyo kufunga Ndoa,kwa uelewa wangu make na mume waliozaa hawafungi Ndoa
 
Wamepata kibali cha kukusanyika? Mkuu wa wilaya asije akaenda kuchukua point 3, maana wanajituma hao.
 
Back
Top Bottom