Mimi ni mmojawapo wa watu wake wa karibu ambao katika wachache waliofanikiwa kujikwamua kutoka kwenye himaya yake na nimeamua kujitoa muhanga na kuweka hadharani chochote wana JF ambacho kinawakwaza kuhusiana na Ufisadi unaoendelea kwenye burudani Tanzania.
Kwakuwa ningependa kufafanua kimpangilio ndiyo maana nimeweka vipengele hivyo hapo juu ili niweze kuvifafanua inapobidi. Kutokana na ufisadi huu kuwa mkubwa na wenye network nyingi ningependa kufafanua kipengele kwa kipengele kama nilivyoviorodhesha hapo juu lakini iwapo ntatakiwa kufanya hivyo.
.
Asiyeonekana hajamuona bado tu!!! Anataka kuhamishia Global Publisher na Ze uchungu hapa naona.Dah! hii Thread itaondolewa mda sio mrefu maana ni majungu tupu.. Afro una kula ban siku 90
Kwenye haki za msanii mara nyingu husimamiwa na bwana Ruge,Yeye Kussaga anachofanya ni kumbana na kulazimisha msanii kusaini mkataba anaoutaka yeye kwenye tamasha mabalo kussaga anataka msanii huyo aperform. kwa mfano,kuna tamasha la la Fiesta kuzunguka mikoa karibia 10 na tamasha hilo litachukua miezi mitatu kwa ujumla.lakini anachofanya anamsainisha msanii mkataba miezi miwili kabla na mojawapo ya sheria za mkataba huo ni kutokea siku msanii anaposaini mkataba huo,msanii haruhusiwi kujihusisha kwenye shughuli yoyote ya kisanii hadi mkataba huo utakapoisha. Inamaanisha msanii atakuwa kifungoni kwa miezi mitano bila kufanya chochote. na kwenye makubaliano ya malipo anawalipa kiwango anachotaka yeye na iwapo anataka ushiriki kwenye tamasha hilo na ukaonyesha hali yoyote ya kutoridhika na mkataba huo basi atakwambia kabisa huo ndiyo mwisho wako kiusanii na kinachofuata ni kwenda moja kwa moja libraly na kuvunja cd yoyote yenye sauti yako na nyimbo yako yoyote hata kama umeshirikishwa haitasikika kwenye kituo cha CLOUDS FM. Malipo ya msanii always yanakuwaga ni asilimia 25 ya pesa aliyoomba kwa wadhamini kwa ajili ya kumlipa msanii kwenye ushirikishi wake wa Tamasha.inaweza kuwa kweli nami najua ni kweli katika baadhi ya mambo hapo hasa hilo lakuibia wasanii baadhi ya haki zao, ikiwamo pesa za matamasha , kuwagawa wasanii katika makundi na mambo kama hayo.
swali kwako AFRO, Je ni mbinu gani bwana Kussaga hutumia kukwapua , haki na stahili za wasanii.?
Umalaya,
Kama nilyowahi kuyasoma kwenye mjadala wa MR 2 n ruge,kuna mdau mmoja alitoa hoja kuhusu bwana Ruge ya kwamba ili kumtoa msanii ni lazima alale nae ndiyo amtoe...hoja hiyo ni ukweli mtupu na si kwa wasanii tu bali mtu yeyote mwenye jinsia ya kike akija kuomba msaada wowote wa kimaendeleo ni lazima avue chupi.
Nikija katika suala la Bwana Kussaga,ni vile vile kama Ruge ila yeye kwa kiwango cha juu zaidi. yeye ni kwa wanawake wa wafanyakazi wake yani watangazaji,vitengo vya udhamini vinavyosimamiwa na wanawake,wanafunzi walomaliza vyuo vya uhandishi wa habari na kutaka kuja kufanya practical Clouds FM. Na kibaya zaidi,katika kila tamasha analofanya anatenga complimentaries 50 kwaajili ya kina dada ambao anauhusiano nao na anajua mwisho wa siku watampigia simu kuomba complimentary na ni vigumu kwa yeye kuwanyima kwakuwa anajua kinichoendelea.
Kwenye haki za msanii mara nyingu husimamiwa na bwana Ruge,Yeye Kussaga anachofanya ni kumbana na kulazimisha msanii kusaini mkataba anaoutaka yeye kwenye tamasha mabalo kussaga anataka msanii huyo aperform. kwa mfano,kuna tamasha la la Fiesta kuzunguka mikoa karibia 10 na tamasha hilo litachukua miezi mitatu kwa ujumla.lakini anachofanya anamsainisha msanii mkataba miezi miwili kabla na mojawapo ya sheria za mkataba huo ni kutokea siku msanii anaposaini mkataba huo,msanii haruhusiwi kujihusisha kwenye shughuli yoyote ya kisanii hadi mkataba huo utakapoisha. Inamaanisha msanii atakuwa kifungoni kwa miezi mitano bila kufanya chochote. na kwenye makubaliano ya malipo anawalipa kiwango anachotaka yeye na iwapo anataka ushiriki kwenye tamasha hilo na ukaonyesha hali yoyote ya kutoridhika na mkataba huo basi atakwambia kabisa huo ndiyo mwisho wako kiusanii na kinachofuata ni kwenda moja kwa moja libraly na kuvunja cd yoyote yenye sauti yako na nyimbo yako yoyote hata kama umeshirikishwa haitasikika kwenye kituo cha CLOUDS FM. Malipo ya msanii always yanakuwaga ni asilimia 25 ya pesa aliyoomba kwa wadhamini kwa ajili ya kumlipa msanii kwenye ushirikishi wake wa Tamasha.
Pamoja Mkuu!!!!! ndugu yangu Afro, ili mradi unajua hayo yote weka wazi hapa jamvini.Kwanza karibu kwenye jamvi.
Pili, sidhani kama ni sawia sisi kuanza kukuuliza ufafanuzi wa hizo tuhuma zako.
Unachotakiwa kufanya ni kwamba baada ya kuanisha vipengele vya ufisadi wa bw. Kusaga, unatakiwa sasa upige hatua moja mbele, utoe ufafanuzi wa hizo hoja zako ndipo sasa nasi tupate nafasi ya kuzichambua moja baada ya nyingine, vinginevyo utaonekana wewe ni hater tu ama la unaleta udaku tu hapa.
Tanesco:Well . tupe . Kwenye TANESCO anafanya nini? Kama anaiba umeme tuambie maana hili lina maslahi kwa umma .
Ikiwa ni post yangu ya kwanza,ningependa kuwajulia hali wana JF na wadau wote wenye nia njema na nchi yetu Tanzania.
Leo nimeamua kuidadicate post yangu ya kwanza kwa wanaentertainment wote wa Tanzania ambao wengi wao ndoto zao zinaishia hewani kutokana na ufisadi unaofanywa na The Don of entertainment Tanzania Mr. Joseph kussaga kama anavyopenda kujiita The Don aka Mullah.
vifuatavyo ni vipengele ambavyo niko tayari kuvielezea kwa atakae taka kujua kiundani jinsi bwana huyu alivyoishikiria nchi kwenye nyanja ya burudani kwa maslahi yake binafsi.
Mimi ni mmojawapo wa watu wake wa karibu ambao katika wachache waliofanikiwa kujikwamua kutoka kwenye himaya yake na nimeamua kujitoa muhanga na kuweka hadharani chochote wana JF ambacho kinawakwaza kuhusiana na Ufisadi unaoendelea kwenye burudani Tanzania.
- Udhamini(sponsorships)
- Bongo flava
- Wafanyakazi wake(watangazaji na wengineo)
- Polisi
- Tanesco
- kumbi za starehe
- Umalaya
- na chochote kuhusiana na burudani Tanzania.
Kwakuwa ningependa kufafanua kimpangilio ndiyo maana nimeweka vipengele hivyo hapo juu ili niweze kuvifafanua inapobidi. Kutokana na ufisadi huu kuwa mkubwa na wenye network nyingi ningependa kufafanua kipengele kwa kipengele kama nilivyoviorodhesha hapo juu lakini iwapo ntatakiwa kufanya hivyo.
Nawakaribisha jamvini wana jamii ili tuweze kuutokomeza ufisadi huu kwa maslahi ya taifa.
Ahsanteni na karibuni.
Duh dada mwache mwenzako amwage dataRumors, hate and udaku nothing else
Ni kweli wasanii wa Bongo hawanufaiki na kazi zao,utaalamu wao na manufaa yao yako mikononi mwa wachache.Sikutegemea kumuona msanii kama Saida Kalol yule niliyemfahamu na nikahudhulia tamasha lake la kwanza uwanja wa Taifa nikakosa hata sehemu ya kuweka mguu kwa sababu ya wingi wa watu, leo hii hana kitu. Je ni nani aliyefaidika hapo?
Tanesco:
Iwapo kuna tamasha lolote linaendelea na yeye hakubaliani nalo kwakuwa labda siku za mbeleni litakuwa na ushindani katika matamasha yake makubwa ya mwana,watu wake wakubwa wa kuvuruga mambo ni Tanesco.Kussaga ameshikiria karibia wakuu wote wa Tanesco kwenye wilaya zote za Dar es salaam. kwa mantiki hiyo basi,Taacha onyesho liandaliwe kwa kila kitu na kwa gharama kubwa na siku ya onyesho,eneo hilo la tamasha litakatwa umeme ili kulikwamisha tamasha hilo na nia kubwa ni kulivuruga tamasha hilo na kuwatisha wadhamini ili wasilidhamini tmasha hilo tena kwa siku za mbeleni kwakuwa tayari limeshaingia dosari. na umeme kwa kawaida ukatika pindi onyesho linapoanza na kama hamjajiandaa kikamilfu na mapema huo ndiyo mwisho wa onyesho hilo kwakuwa majenereta yote makubwa ya mjini anakuwa ameshayakodi ili mkose pa kukodi,na majenereta yanayoweza kuendesha onyesho kubwa kama hilo ni machache mjini na yanajulikana ni ya kina nani.
hajaleta kwa mtiririko mzuri kwa hiyo it is assumed he has nothingto TellJamani vipi? inaonekana Kusaga mnaheshimu sssana kiasi kwa mba hamtaki mtujue hata the other side yake!!
afro, endelea kumwaga vitu......ongea tuyajue.
Suala la Saida karori kupotea ni kutokana na kutokuwa na maelewano baina ya meneja wa Saida na CLOUDS FM.Ni kweli wasanii wa Bongo hawanufaiki na kazi zao,utaalamu wao na manufaa yao yako mikononi mwa wachache.Sikutegemea kumuona msanii kama Saida Kalol yule niliyemfahamu na nikahudhulia tamasha lake la kwanza uwanja wa Taifa nikakosa hata sehemu ya kuweka mguu kwa sababu ya wingi wa watu, leo hii hana kitu. Je ni nani aliyefaidika hapo?
Najua mwanzoni itakuwa ngumu kueleweka kwakuwa maswali mengi yatajitokeza kutokana na thread hii,Ila ningependa kufafanua zaidi kwamba mimi sikuwa mshiriki wa Kussaga bali nilikuwa muajiliwa niliye kifungoni kama wasanii wanavyowekwa kifungoni lakini imefikia wakati nimeshindwa...mimi fani yangu kubwa ni mwana burudani,nilijitoa Clouds FM miezi michache iliyopita na kujaribu kuendeleza fani yangu kimwenyewe mwenyewe lakini mambo yanayonikuta ni kwamba nimefungiwa njia zote na huyu jamaa na hakuna njia yoyote ya mimi kujiendesha binafsi kwakuwa nyanja nyingi zinazohusiana na Entertainments zimeshabanwa.Labda nibadilishe fani au nikubali kuendeshwa na huyu jamaa kama anavyotaka yeye.
wengi watafikiri ni udaku au majungu au Chuki lakini si hivyo kabisa.kuna mambo mengi sana ya kifisadi yanaendelea katika fani hii ambayo kwa mimi binafsi ninauhakika tunaweza kuyakemea kwa maslahi ya jamii. mi nafikiri tuwe wavumilivu na tuijadili hoja hii kiupole zaidi.