Mmavele jr
Senior Member
- Aug 14, 2014
- 130
- 53
Majina ya waliochaguliwa jordan university kwa awamu ya kwanza na pili yameshatoka na kama wewe ni kati yao basi pita hapa tujuane na kwa whatsup group WASILIANA NA NO 0745709844 group lipo tayali
Ni kwel mkuu second round wametoa?Majina ya waliochaguliwa jordan university kwa awamu ya kwanza na pili yameshatoka na kama wewe ni kati yao basi pita hapa tujuane na hata no ya simu weka hapa tuanzishe whatsup group letu
http://www.juco.ac.tz/index.php/en...-for-bachelor-programs-by-tcu-cas-rounds-1-2Ni kwel mkuu second round wametoa?
naona umechaguliwa kaka, hongeraNi kwel mkuu second round wametoa?
morogoro mkuuHiko chuo kinapatikana wapi?
hongera yako timotheo twende tukapige msuli moronaona umechaguliwa kaka, hongeraView attachment 413266
Nashukuru mkuunaona umechaguliwa kaka, hongeraView attachment 413266
Nashukuru ,vp nawe tupo pamoja pale?hongera yako timotheo twende tukapige msuli moro
Kuna hosteli mkuu hpo dd yngu aja hkoni chuo safi sana, kinauongozi mzuri,mandhari nzuri, ni tawi la saut kipo mjini. Ni chuo kama umechaguliwa hapo hakika hautajutia kusoma hapo. Welcome Jordan University College in Morogoro.
weka no sasa mi joining na fees structure ninavyoAlietangaza kuanzxha cru ya watsap nae jpumbona atulioni jomba. Au ulikua unatafuta kk