cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
that kid was sooooooo beautiful, at her age of 6 tayari alikuwa na mataji 50 ay urembo!!! amazing indeed! amefariki hajui dhambi ni nini, ameteseka kwa kunajisiwa na walafi wasio ridhika na kei za wakomavu wenzao, imeniuma, nimesikia machozi yanatoka, nina mabinti wa3, cant imagine myself inthat situation na nijue kuwa MUME wangu ni muhusika. NITAMUUA KWA MIKONO YANGU MIWILI, LITAKALOKUWA NA LIWE! pathetic kwa kweli!