Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,285
Nakumbuka enzi za utoto nilikua napenda kujiitta majina ya watu hatari hatari kama Savimbi, Hitler, Mussolin, Bocassa, Osama kweli siku zinaenda R.I.P SAVIMBI.
Kwa kuwa tokea ukiwa mtoto umependa kujiita majina ya watu waliokuwa against na jamii adilifu na kwa kuwa wote uliowapenda wamekwisha kufa,ama kuuawa basi ndugu nikutakie tu Pumziko la milele huko jehanam ikiwa utakufa bila sisi kupata taarifa.