anna mwakaringa
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 352
- 75
Duhh asante sana kwa mleta huu uzi coz kwa kiasi fulani nimejifunza be blessed!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinafundisha adui yako ni mtu wako wa karibu wala hatoki mbaliMkuu nimerudi sasa kisa hiki kinafundisha nini mkuu
Rest In Peace SAVIMBI, dah! imeniuma sana.interesting.....
Alimwaga damu za waafrika wenzake kwa upumbavu wa kutumia na marekani baada ya adhima ya marekani kutimia wakasavimbi kwa risasi
kumbeeePengine alichokuwa anapigania kilikuwa na tija lakini pia aliua wananchi wasiokuwa na hatia indiscriminately. Mpaka leo Angola ni mojawapo ya nchi hatari sana kutokana na uwepo wa mabomu mengi ya kutegwa ardhini ambayo hayajaripuka.Mandela, Annan na akina Gaddafi walijaribu sana kusuluhisha mgogoro huu mpaka akapewa u-vice president lakini yeye alitaka kuwa rais kwa gharama yo yote ile. Ha got what he deserved na alitumiwa sana na Wamarekani na kama kawaida yao alipomaliza thamani yake wakamtupa kama mbwa!
Wakati wa vita baridi yeye na Mobutu walikuwa vikaragosi wa Wamarekani ku-destabilize nchi zilizokuwa zinafuata siasa za kikomunisti ikiwemo Angola,Msumbiji na eneo zima la Afrika ya Kati na Kusini. Misaada yake ya kijeshi na pesa ilikuwa inapitia kwa makaburu Afrika Kusini. Shirikisho la Russia liliposambaratika na Angola ikaruhusu vyama vingi vya kisiasa; na kuanza kuuza mafuta yake Marekani basi umuhimu wake ukaisha na kama kawaida yao Wamarekani wakamtupa (kama walivyofanya kwa Saddam, Osama, Mobutu na wahanga wengine wa kihistoria).kumbeee
kavuna alichopanda ,Ndomana mimi nasema haya makundi mengi duniani yapo kimslahi sana
Dah shukran kwa kutujuza ,ila hawa watu nimeanza kuamka huwa siwaungagi mkono ,makundi yote yanayoanzishwa ,maana nyuma yao najua kuna mmarekaniiiWakati wa vita baridi yeye na Mobutu walikuwa vikaragosi wa Wamarekani ku-destabilize nchi zilizokuwa zinafuata siasa za kikomunisti ikiwemo Angola,Msumbiji na eneo zima la Afrika ya Kati na Kusini. Misaada yake ya kijeshi na pesa ilikuwa inapitia kwa makaburu Afrika Kusini. Shirikisho la Russia liliposambaratika na Angola ikaruhusu vyama vingi vya kisiasa; na kuanza kuuza mafuta yake Marekani basi umuhimu wake ukaisha na kama kawaida yao Wamarekani wakamtupa (kama walivyofanya kwa Saddam, Osama, Mobutu na wahanga wengine wa kihistoria).Wengi walishangaa sana alipoukataa u-vice president na kuamua kurudi msituni kuendelea kupigana wakati jeshi lake akiwa ameshalivunja. Wakati ule Marekani inahitaji sana mafuta ya Angola basi akawa ame-miskalikyuleti na ku-ovaestimeti umuhimu wake. Nasikia wanaume wa CIA walim-tag na GPS tracking device wakatuma makomando wao wakaja wakaongozana na wenzao wa Angola wakamfanyizia. Na huo ukawa ndo mwisho wake. Aliua wananchi wa Angola wengi sana na mpaka leo kuna mabomu madogo madogo ya ardhini yanayokadriwa kufikia hata milioni 5 yanasubiri kuripuka na yanaendelea kuua.Tumwache aozee katika shimo la takataka la historia!Hapa maiti yake inaangaliwa na wanakijiji. Nasikia alizikwa huko huko msituni na baadaye kaburi lake lilifukuliwa na mpaka sasa hajulikani alizikwa wapi. Ni yale yale yaliyofanyika kwa mwili wa Osama!