Jokate nae yumo?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,149
Reaction score
162,559
Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.

Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.

Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
 
Alikuwa mweka hazina mkuu wa ... Na .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yasemekana huyu ndio kilikuwa kihenge cha kuhifadhia hela zote za unyang'anyi alizopora Sabaya
 
Watakwisha wote kudadeki !
 
Ombi la kumkamata mtuhumiwa kwa mahojiano kibali kinatolewa na Rais?
 
Kuna wakati tusimwamini sana bwana yule
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…