Kuna wapumbavu wanasifia mtu kutimiza majukumu yake kwa kodi zao!Yaani..huko insta ndio usiseme mpaka nikawa najiuliza amekuwa waziri au??
Hadnall kitundu hapoumenifurahisha,Sasa kweli wakumsifia Nani wilayani Mkurugenzi,mkuu wa wilaya au mbunge kazi kweli kweli
Siyo majungu mzee, ukiona mtu anatumia sana media kujitangaza jua kuna shida hapo, huyu mdada kila anachofanya lazima aite macamera, hata akikarabati choo cha shule macamera! Kuna wakuu wa wilaya wanafanya vizuri kuliko yeye ila sababu siyo watu wa macamera hatuwajui!!Sio rahisi. Mama anabadilisha watu vituo. Bila shaka atapelekwa Ilala kama sio Dodoma mjini.
Tuache majungu wakuu. Kama mtu anachapa kazi tumpe pongezi zake.
watu mmenishinda kabisaaaa....eti kapeleka uwanja wa ndegeSijui Mkuu wa Wilaya ya Chato tutasemaje maana yeye kapeleka mpaka uwanja wa ndege.
Atawadanganyeni wachache tu msio na Fikra pana. DC Jokate Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli wala alikuwa hana muda na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.Salaam Wakuu,
Natumia nafasi hii kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kuipaisha Kisarawe, Kielimu na Kiuchumi.
Wakati anateuliwa nilimbeza sana na kumuona kama kapendelewa. Wengine Walidiliki kusema kwamba ni Nyumba ndogo ya mtu fulani ndo maana kateuliwa. Ila kafanya kazi Vizuri hata zaidi ya Baadhi ya Wakuu wa Mikoa wapenda Kiki.
Kisarawe ni moja kati ya halmashauri tisa za mkoa wa Pwani.Imeanzishwa tarehe 1 Julai 1907.Wilaya ya Kisarawe inapakana na Wilaya ya Mkuranga kwa upande wa Kusini-mashariki na Wilaya ya Morogoro upande wa Magharibi.Mashariki-Kaskazini kuna Jiji la Dar es Salaam, Kaskazini Wilaya ya Kibaha na Kusini Wilaya ya Rufiji. Lakini Utafikiri Kisarawe ndo Mkoa kumbe ni Wilaya tu kati ya Wilaya 9.
Pamoja na kukuta watu wa Pwani ni Wavivu, kwa muda mchache aliokaa Kisarawe, ameitambulisha kimataifa. Kisarawe imekuwa Maarufu. Kisarawe imekuwa maarufu zaidi hata ya Mkoa wa Pwani. Utendaji wake wa Kazi, umefanya Kisarawe kufunika Wilaya nyingine za Pwani.
Kuna baadhi ya Mambo ambayo ameyafanya na yanaonekana.
Elimu
= Wanafunzi walikuwa watoro na Shule za Kisarawe zilikuwa Zinafanya Vibaya, lakini sasa Zinafanya Vizuri.
= Wilaya ya Kisarawe aliikuta inauhitaji wa madawati 1166 ambapo kwa sekondari uhitaji ni 484, na 642
kwa shule ya msingi. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya ina uhitaji wa shilingi milioni 124 kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo 113 Mashuleni, kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya inauhitaji wa ofisi za Walimu za kisasa katika shule 14 ambazo zinagharimu shilingi milioni 880. Kafanyia kazi
= Alikuta Wilaya haina Maktaba, zinajengwa.
= Alikuta Kisarawe ina matatizo ya Maji. Kwa muda mfupi tatizo la Maji limepungua.
= Huduma za afya zimeboreka hasa huduma ya Mama na Mtoto. Ujenzi wa Wodi ya Upasuaji.
= Huduma ya Umeme imeboreka nk.
Ameweza kufanya mambo ya Maendeleo bila kuwasumbua vyama Pinzania wala kujenga Chuki kwa Wananchi. Hajihusishi na Ufusadi. Ana heshima kwa Kila mtu na ni msikivu.
Jokate ni Mfano kwa Viongozi wanaoteuliwa sasa.
Natamani angepewa Wilaya ya Kinondoni akamalize Migogoro ya ardhi.
Kwa mahali nchi hii ilipofika, ukiona mtu Serikalini ametekeleza majukumu yake mshukuru tu Kwa kweli..Mtu anapongezwa kwa kufanya kazi zake?
Postman akifikisha barua au mzigo mahali husika tunahitaji kumpongeza?
Jokate yupo smart kichwani hadi kiutendaji,,mama hawezi kumpiga chini,tetesi ni kwamba anaenda wilaya ya temeke
Temeke hapawezi kabisaa,miongoni mwa wilaya zinazotaka uwe na maamuzi haswaaaa,Maana kwanza kuna viwanda vingi,bandari,wavuja jasho wengi,Wanafunzi wazazi wanaotegemea huduma Zaid za serikali kuanzia elimu, afya na maj.Jokate yupo smart kichwani hadi kiutendaji,,mama hawezi kumpiga chini,tetesi ni kwamba anaenda wilaya ya temeke
Kinacho fanyika ni kila mtu kuwahi media.umenifurahisha,Sasa kweli wakumsifia Nani wilayani Mkurugenzi,mkuu wa wilaya au mbunge kazi kweli kweli
Temeke hapawezi kabisaa,miongoni mwa wilaya zinazotaka uwe na maamuzi haswaaaa,Maana kwanza kuna viwanda vingi,bandari,wavuja jasho wengi,Wanafunzi wazazi wanaotegemea huduma Zaid za serikali kuanzia elimu, afya na maj.
Usafiri mkubwa ni daladala ,huku ni mtu ana nauli ya kwenda na kurudi tu humuelezi kitu.
Kila siku kusolve migogoro n.k
Jokate anaziweza wilaya ambazo bado Zina ushamba mwingi ili aweze waleta wasanii washangae shangae,event za kisanii Zaid kama mialiko kedekede,pichapicha nyingi.
Wilaya za watendaji weziwezi na wafanya biashara wabishi wabishi haziwezi
Wilaya za kazi na kusolve matatzo yanayotegemea viongozi wa serikali badoo ana ile ya kutaka kumridhisha kila mtu,Abaki tu kisarawe ama ateuliwe viti maalumu
Gondwe naona umeandika gazeti, jiandae kwenda kisarawe then Jokate aje TemekeTemeke hapawezi kabisaa,miongoni mwa wilaya zinazotaka uwe na maamuzi haswaaaa,Maana kwanza kuna viwanda vingi,bandari,wavuja jasho wengi,Wanafunzi wazazi wanaotegemea huduma Zaid za serikali kuanzia elimu, afya na maj.
Usafiri mkubwa ni daladala ,huku ni mtu ana nauli ya kwenda na kurudi tu humuelezi kitu.
Kila siku kusolve migogoro n.k
Jokate anaziweza wilaya ambazo bado Zina ushamba mwingi ili aweze waleta wasanii washangae shangae,event za kisanii Zaid kama mialiko kedekede,pichapicha nyingi.
Wilaya za watendaji weziwezi na wafanya biashara wabishi wabishi haziwezi
Wilaya za kazi na kusolve matatzo yanayotegemea viongozi wa serikali badoo ana ile ya kutaka kumridhisha kila mtu,Abaki tu kisarawe ama ateuliwe viti maalumu