TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Hana ajualo uyoUmekuza sana vitisho... huku uhalisia mkuu wa wilaya ya temeke wa sasa hivi hana competence yeyote ya kumzidi jokate.. kuanzia elimu mpaka mafanikio waliyoyaleta kwenye wilaya zao..
Yaani sehemu aweze muandishi wa habari ambays hata chuo kikuu hajafika, ashindwe binti mjanja mjanja mwenye degree na masters ya udsm + exposure ya kueleweka