Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamani kama upo maeneo ya mwenge kituoni nimemuona J.shibuda
akisubili daladala nilitaka kumpiga picha ili niwawekee hapa lakini simu yangu ya tochi
Kama nimemfananisha am sorry lakini alikuwa anatokwa na jasho ile mbaya
Jamani Chadema mbona mnamtelekeza mbuge wenu?
akisubili daladala nilitaka kumpiga picha ili niwawekee hapa lakini simu yangu ya tochi
Kama nimemfananisha am sorry lakini alikuwa anatokwa na jasho ile mbaya
Jamani Chadema mbona mnamtelekeza mbuge wenu?