Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
Magufuli anaweza kushinda lakini tutapata Tabu sana na Aina yake ya uongozi ya kutoamini wenzake na kujiona bora akileta mambo ya wizara ya ujenzi na huko tanroad ikulu hataiweza Ile ni taasisi ..,
Kingine ni utata wa Uraia Hasa wa baba yake ...Ambaye alikuwa muhamiaji Kama alipata kuhalalisha Uraia wake ..Je wakati wa Uhuru Tayari alikuwa Tanganyika ??? Inajulikana pamoja na mazuri aliyofanya Magufuli chato hupata upinzani tu kwakuwa humuona yeye Kama wa Kuja ...Hana babu chato!
MADAI KUWA alipokuwa kijana alipata kurukwa na akili nayo yanachanganya wafuatiliaji ..Hasa ukizingatia Baadhi ya vitendo anavyofanya majukwaani ..sio vya hadhi ya Uraia ...Kama kutokea dirishani badala ya mlangoni..kutosikiliza wenzake Hasa walinzi ...kuruka Ruka bila mpangilio na kupiga push-ups ......haijapata kutokea Mgombea wa hadhi ya Urais Kufanya Hiyo ...
Mwaka huu tuamue Kama tutaongozwa na a Proven Mental case AU physically weakened but articulate ....person ...Kama kibaki alivyoongoza kuitoa KANU madarakani akiwa taabani kwenye wheelchair HUKU akili ikiwa timamu
Na Kati ya mambo yanayotuletea Laana uchaguzi wa Mwaka huu ni kuingilia kazi ZA Kimungu ....na kumpangia Nani anayepasa kumfuata ...hili Toka kampeni zinaanza tulilipigia sana kelele ....
Tuombe Mungu taupe atakayetupa Kati ya hao ...na atakayeshindwa akubali Matokeo kwakuwa kupinga Matokeo AU kuzuia chaguo lake itakuwa kilio na Kusaga meno
Kingine ni utata wa Uraia Hasa wa baba yake ...Ambaye alikuwa muhamiaji Kama alipata kuhalalisha Uraia wake ..Je wakati wa Uhuru Tayari alikuwa Tanganyika ??? Inajulikana pamoja na mazuri aliyofanya Magufuli chato hupata upinzani tu kwakuwa humuona yeye Kama wa Kuja ...Hana babu chato!
MADAI KUWA alipokuwa kijana alipata kurukwa na akili nayo yanachanganya wafuatiliaji ..Hasa ukizingatia Baadhi ya vitendo anavyofanya majukwaani ..sio vya hadhi ya Uraia ...Kama kutokea dirishani badala ya mlangoni..kutosikiliza wenzake Hasa walinzi ...kuruka Ruka bila mpangilio na kupiga push-ups ......haijapata kutokea Mgombea wa hadhi ya Urais Kufanya Hiyo ...
Mwaka huu tuamue Kama tutaongozwa na a Proven Mental case AU physically weakened but articulate ....person ...Kama kibaki alivyoongoza kuitoa KANU madarakani akiwa taabani kwenye wheelchair HUKU akili ikiwa timamu
Na Kati ya mambo yanayotuletea Laana uchaguzi wa Mwaka huu ni kuingilia kazi ZA Kimungu ....na kumpangia Nani anayepasa kumfuata ...hili Toka kampeni zinaanza tulilipigia sana kelele ....
Tuombe Mungu taupe atakayetupa Kati ya hao ...na atakayeshindwa akubali Matokeo kwakuwa kupinga Matokeo AU kuzuia chaguo lake itakuwa kilio na Kusaga meno