John Mrema: No election ni kukusanya wimbi kubwa kwa jamii ili kushinikiza mabadiliko. Lissu: ninaikusanya jamii ya watanzania ili kuhimiza mabadiliko

John Mrema: No election ni kukusanya wimbi kubwa kwa jamii ili kushinikiza mabadiliko. Lissu: ninaikusanya jamii ya watanzania ili kuhimiza mabadiliko

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
12,276
Reaction score
38,847
John Mrema anadai kuwa dhana ya No Reforms no election ni kukusanya wimbi kubwa la jamii ili kuwaleta pamoja kuhimiza mabadiliko.

Kwani huko mikoani Lissu na wenzake wanafanya kazi gani? Wanakimbiza Mwenge? Wanaimba mama mama mama...Wanamsemea mama kwa kampeni ya asemewe?

Mimi hata sijamuelewa Mrema. Au Pasco Pascal Mayalla umemuelewa? Emb muelezee alivyosema bila kuweka dhana zako?
 
Hao kwenye picha yako ya avatar ni wanachama wa maccm? Maana yakikusanyana yanakuwa kama mimea
Du people are discussing members avatar, tutafika mbinguni tunaweweseka.
Ok fine hayo ni mananasi na usinichanganye na hicho chama chako, sijawahi na haitatokea asilani
 
Back
Top Bottom