John Mrema awachakaza Chadema wa mchongo wenye mdomo bila kujitolea!

John Mrema awachakaza Chadema wa mchongo wenye mdomo bila kujitolea!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
20,142
Reaction score
24,432
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .
 
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .
John Mrema popote ulipo wahi kwa Makalla akupe kadi ya Chadema hayakuhusu tena, naona umeanza kukonda sasa hakuna hela ya bure bure tena.
 
Chadema iko mioyoni mwa watu, haiko mitandaoni wala kwenye siasa za majukwaani pekee.

Ndiyo maana pamoja na kupitia nyakati ngumu takribani miaka 10+, bado kina wafuasi pengine 50%+ ya WaTanganyika wote.

Hizo propaganda za kuuchafua uongozi ulioko madarakani hazitaathiri harakati za NO REFORM NO ELECTION.

Walianza na Mungu watamaliza na Mungu.

Allah ibariki Tanganyika pamoja na Chadema + Viongozi wake.
 
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .

John Mrema popote ulipo wahi kwa Makalla akupe kadi ya Chadema hayakuhusu tena, naona umeanza kukonda sasa hakuna hela ya bure bure tena.
Mbona kama machambo tu na hakuna la maana alilosema. Kwanini asiwe wazi kuwa anamsema nani na kafanya kosa gani? Kazunguka tu bila kusema kalenga nini, akili kama hizi zinatakiwa kuwa CCM
 
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .
Duh...!.
P
 
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .
Haya ndio kama ya Masta wa Muziki Aliyekua Anauzalisha Zamani, Kama Alivyosema Ali Kiba'ka... Huyu Jamaa Naye Ni Hivyo Hivyo.. Watu Wa Sinza Wanamjua Vizuri Sana... Ni Vile Dada Wa Taifa Hajafikiwa Tu...


Kimsingi Ukiwa Na Tabia Ile Huwezi Acha Na Kila Mtu Unamuona Adui Bila Sababu
 
Soma mwenyewe uone toka a/c yake huko X......

Umezoea kusema uongo sana na ndio imekuwa silaha yako mara zote kushambulia watu na kuwafanyia bullying ili wakae kimya .

Kwa taarifa yako siku za nyuma nilipokuwa kiongozi nililazimika kuukalia kimya uongo wako ili kulinda maslahi mapana ya taasisi huku nikiumizwa binafsi ,kwa sasa sitakaa kimya tena kwani nimeshajua kuwa kumbe kukaa kimya dio laxima iwe ni BUSARA ila wakati mwingine unawapa maadui wigo wa kutamba na kusambaza uongo dhidi yako.

Kuhusu matamko nilipokuwa kwenye nafasi hiyo yapo mtandaoni na unaweza kuyasoma yalitolewa wakati gani na ya aina gani .

Kuhusu Mdude , wewe umefahamiana naye juzi ,yeye ni shahidi kuwa alipotekwa na kupotezwa nilitoa kauli kwa uzito mkubwa , sihitaji kujitetea kwako .
Kuhusu Soka , najua huko aliko kama anaweza kuusoma huu uongo atakuwa analia kwa uchungu sana .
Nimemfahamu Soka tangu mwaka 2021 na nilikutana naye nyumbani kwake nikiwa nasajili wanachama kidigital (pilot project) kule Ulongoni A. Akawa kijana wangu na hata alipofungua biashara Kinondoni alinifuata kwenda kumsaidia kukagua eneo la biashara yake .
Nimekuwa naye wakati wote anafuatilia mirathi yake Dodoma .nk nisiseme mengi as hakuna sababu ,akirudi atakuwa shahidi .

Kwamba nilifanya naye kikao ofisini siku moja kabla ya kutekwa ni UONGO ,kwani wakati anatekwa sikuwa DSM .Kuwa nilileta watu wa mfumo ofisini hilo unaweza kulithibitisha wewe kwani umezidi uongo ambao ndio mbinu yako ya kufanya BULLYING ILI MTU /WATU WANYAMAZE ......sitakaa kimya .

Nikipata wasaa mzuri nitaandika kuhusu mnavyowauza vijana kwa kuwaita Nairobi ,na kuwatuma bila kuwapa kinga yoyote ile ,wakati ninyi mkiwa ughaibuni mnawatuma front ,wakipata matatizo mnatafuta wa kuwatwisha zigo looote kuwa ninyi hamhusiki .....

Nimetumia wajibu wangu kama mwanachama kwa mujibu wa katiba ibara ya 5.3.4 wa kuwa tayari kupambana na aina yoyote ya ukandamizaji,unyanyasaji,udhalilishaji,uonevu na ubaguzi .

Sigrada ,anastahili kutendewa mema kama kiongozi na mwanachama ,hastahili kubagazwa ,kutishiwa au kudhalilishwa wakati huu akijiuguza ,hata kama humpendi utu wake una dhamani kubwa .

Jifunze kuheshimu utu wa wenzako ,jifunze kuwa na utu na sio unasukumwa na chuki na ubaguzi kuwa Sigrada anasitahili anayoyapitia na wakati huohuo unalaumu dola kutokutenda haki kwa wengine .

Eid Mubarak .
Huyu alizoea vyeo anatapatapa tu
 
John mrema kaa kimya ww hamna ulichofanya Kwa wakt wako najua unaumia xna kukosa uteuz,na SI lazima update cheo nenda kalime,unajidhalilisha acha wenzako wafanye kaz,mambo ya mwanaume kulalamika hayo waachie wanawake,ww kaa kimya ulikuwa unakula Hela za Bure za chama,chama kilipwaya xna,
 
Mbona kama machambo tu na hakuna la maana alilosema. Kwanini asiwe wazi kuwa anamsema nani na kafanya kosa gani? Kazunguka tu bila kusema kalenga nini, akili kama hizi zinatakiwa kuwa CCM
Umeweka mbele ushabiki ndio maana umetoka kapa...
 
Haya ndio kama ya Masta wa Muziki Aliyekua Anauzalisha Zamani, Kama Alivyosema Ali Kiba'ka... Huyu Jamaa Naye Ni Hivyo Hivyo.. Watu Wa Sinza Wanamjua Vizuri Sana... Ni Vile Dada Wa Taifa Hajafikiwa Tu...


Kimsingi Ukiwa Na Tabia Ile Huwezi Acha Na Kila Mtu Unamuona Adui Bila Sababu
Mbona kama hatumii nguvu kufikisha ujumbe wake wenye akili wanamuelewa sio lazima kutumia 4 figure!
 
Silaha walizotumia walioko kwenye nafasi naona wenzao wamezipata na kuanza kuzitumia.Uongo ulikuwa silaha kubwa ya mwenyekiti na anajua kusema uongo kwa ujasiri
 
Ninavyo fahamu, Ofisi nyingi za Umma huwa na taratibu rasmi za kufikisha maoni kama unayo, ambapo Kwa level za Chama cha Siasa huwa wanawasilisha kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu

Kwa hali ya mapambano ilivyo kuelekea Uchaguzi Mkuu, nilitegemea wanachama na wafuasi wote wa Chadema wawe pamoja wakati huu

Hii njia anayoitumia huyo John Mrema, binafsi naona sio sawa

Ndiyo inawapa nafasi wasio na mema na Chama, waitumie kama Karata ya kuwagawa
 
Ushabiki wa nini tena, kwanini asimtaje kabisa kuwa ni flani, huyu atakuwa na wale wanaotumiwa na CCM
Nyuma ya pazia hata wewe unatumiwa na ccm ndio maana lissu kesho akikwambia utoke barabarani huto thubutu zaidi ya kujifunika shuka!
 
Nyuma ya pazia hata wewe unatumiwa na ccm ndio maana lissu kesho akikwambia utoke barabarani huto thubutu zaidi ya kujifunika shuka!
Mambo ya kutoka barabarani yamefikaje hapa? Au ndiyo yaleyale ya ukiwa Ccm na akili zako zinakuwa ndiyo vile tena.
 
Back
Top Bottom