talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Mnabaki kuishi kwa kudhania dhania. Kupeana maneno, kuzuliana n.k. Mbona tunawasemea viongozi wetu?? Mnyika ni mtu mzima. anamaamuzi na uwezo wa kuchagua chaguo lililosahihi??
Ni suala la Kimkakati na kutoa nafasi ya watuhumiwa kuonyesha kitubio. Lakini kwa bahati mbaya matamshi ya Zitto na Kitila Mkumbo jana hayakuzingatia nafasi na fursa walizopewa. Hivyo CHADEMA makao makuu inaweza kutaka kufunua baadhi ya mambo ya hatari na ya ndani zaidi yaliyohaririwa au kuachwa katika waraka uliowekwa mitandaoni. Hili hata Mama Zitto analijua kuwa waraka halisi ni wa moto, unapilipili na unawasha au unachoma kabisa
Hivi Mkumbo ni mpare?
nmekuwa nikiamn paspo shaka kuwa kiongoz makini ndani ya chadema ni mnyka nashangaa sana mnyka kukaa kmya kuangalia jinsi mbowe na mkwe wake mtei wanavyoivuruga chadema kwa maslahi yao bnafsi taarfa za wazi znasema na znaonyesha kuwa ruzuku ya chadema anayeifaidi ni mbowe na mkwe wake mti mnyka umekubali kuwasaliti wapgania demokrasia wa kweli zitoo na kaka yako mpare mwezako na mwalimu wako dk.kitila mkumbo zamu yako itafka mbowe na genge lake la wachaga litakugeuka kwa wewe kusema ukweli...dk.silaha amezeeka sasa na anachofanya ni kutafta pensheni ya uzeeni tu kwa safari anazopewa na mbowe ili kumfumba..tunaamini na tunajua dada yako halima mdee yupo upande wa wapenda mabadiliko wa chadema vijana shupavu kna zito na wasomi kina dk.mkumbo macho...
Note; john mnyika..halima mdee msimsaliti kaka yenu...mwalimu wenu na mpare mwenzenu dk.kitila mkumbo kwa kutaka demokrasia ya kweli chadema vizazi vyenu vitawahukumu....nccr ilimalizwa kwa fukuza fukuza na kna marando....najua mnyka upendi anachofanya mbowe toka hadaharan ukatae
nmekuwa nikiamn paspo shaka kuwa kiongoz makini ndani ya chadema ni mnyka nashangaa sana mnyka kukaa kmya kuangalia jinsi mbowe na mkwe wake mtei wanavyoivuruga chadema kwa maslahi yao bnafsi taarfa za wazi znasema na znaonyesha kuwa ruzuku ya chadema anayeifaidi ni mbowe na mkwe wake mti mnyka umekubali kuwasaliti wapgania demokrasia wa kweli zitoo na kaka yako mpare mwezako na mwalimu wako dk.kitila mkumbo zamu yako itafka mbowe na genge lake la wachaga litakugeuka kwa wewe kusema ukweli...dk.silaha amezeeka sasa na anachofanya ni kutafta pensheni ya uzeeni tu kwa safari anazopewa na mbowe ili kumfumba..tunaamini na tunajua dada yako halima mdee yupo upande wa wapenda mabadiliko wa chadema vijana shupavu kna zito na wasomi kina dk.mkumbo macho...
Note; john mnyika..halima mdee msimsaliti kaka yenu...mwalimu wenu na mpare mwenzenu dk.kitila mkumbo kwa kutaka demokrasia ya kweli chadema vizazi vyenu vitawahukumu....nccr ilimalizwa kwa fukuza fukuza na kna marando....najua mnyka upendi anachofanya mbowe toka hadaharan ukatae