Hana exposure internationally"Kiongozi Mkuu yuko too local" - waraka...
Anayesama hayo kila akienda nje anagongea pa kulala ilihali anayesemwa kuwa hana exposure anafikia kwake! Yaani mtu ana makazi Kigoma, wewe unafikia sebuleni kwa ndugu na jamaa alafu unadai kuwa mwenyeji zaidi ya mwenye makazi ya kudumu?! Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!Hana exposure internationally
Acha porojo.Tuletee hapa huo waraka usiyofanyiwa uhariri.ZeMarcopolo acha ushabiki...hivi kwa nini katika msiba huu wanaopiga ndulu sana ni walio maadui?!
Kitu kimoja wengi hawajui juu ya Waraka ulio mtandaoni ni kuwa umefanyiwa uhariri. Kama ungewekwa kama ulivyokamatwa Zitto asingekuwa na guts za kuitisha press conference jana na wala wapigandulu wa Lumumba wasingkuwa na upenyo wa kupiga mayowe
"Kiongozi Mkuu yuko too local" - waraka...
Unaweza kunipa sababu ya msingi ya Mnyika kuzima simu zake zinazojulikana kwa umma na kukatika kimawasiliano toka wiki ya tarehe 10? Pili, Je, ni kweli Mnyika alikuwa miongoni mwa delegation ya wabunge wa Kamati ya Maliasili iliyokwenda nje? Wadhani kwa nini aliamua kulazimisha safari ya ghafla kukacha kikao cha Kamati Kuu?
Maadamu wengi wametekwa fikra na hawako na utashi katika wayatendayo, basi wadhanyi nami sifanyi jambo mpaka nimetumwa na wengine?..waliokutuma wanavyodhani..
Inasikitisha sana sana, siasa za ndani za CDM zinafanya vijana wenye uwezo mkubwa sana wa kisiasa na kupambanua mambo kama Mnyika, Mdee Tundu Lisu kuwa just a PUPPET
Mazingira ya demokrasia ndani ya CDM haya nafasi kabisa la sivyo utaishia kuitwa msaliti, hutakiwi kutofautiana kimawazo na ''WENYE CHAMA'' zaidi ya kuitikia ndio mzee.......hapo utakuwa mwenzao