Hata kama Dr akirudi..things wont be the same...watanzania wameshaelewa sababu za Dr kugoma!
Hata kama Dr akirudi..things wont be the same...watanzania wameshaelewa sababu za Dr kugoma!
Dr kalikimbia tango mwitu.anajua linaua
Chadema tunachotaka ni mabadiliko hatutaki porojo mara dr slaa wala mnyika tunachotaka ni mtu wa kutuongezea speed ambaye ni lowassa lowassa kwa afya njema ya mabadiliko ya kweli!!Team Lowasa, hamjawai kuumia kuhusu Slaa na Chadema.
Kwenu Chadema ni daraja la kutafutia madaraka,Mna uchu wa madaraka kuliko kitu kingine nyie mnawaza matumbo yenu tu.
Ama kweli Chadema imetekwa.
Huo ni uoga wako mkuu..Hata kama Dr akirudi..things wont be the same...watanzania wameshaelewa sababu za Dr kugoma!
Kuwa mpole punde si punde utasikia " Dr Slaa si huyu hapa" wanajitokeza kwa kufuata seniority....teh...teh....teh...!Mara "Lissu si huyu hapa," sasa "Mnyika si huyu hapa." Kiu ya Watanzania ni "Where's Dkt Slaa?"
Yohana Alcohol Mapadlock kasahaulika kabisa masikini! Haya ndio madhara ya kuchepukia nafasi za watu. Professor kasema hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa shina wa ccm, leo anachupia kuwa Mwenyekiti wa ccm taifa. Hata mimi nisongekubali,if I were lowassa and the alike.
Yohana Alcohol Mapadlock kasahaulika kabisa masikini! Haya ndio madhara ya kuchepukia nafasi za watu. Professor kasema hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa shina wa ccm, leo anachupia kuwa Mwenyekiti wa ccm taifa. Hata mimi nisongekubali,if I were lowassa and the alike.
Team Lowasa, hamjawai kuumia kuhusu Slaa na Chadema.
Kwenu Chadema ni daraja la kutafutia madaraka,Mna uchu wa madaraka kuliko kitu kingine nyie mnawaza matumbo yenu tu.
Ama kweli Chadema imetekwa.
Slaa uwezo wake wa kufikiria umefika mwisho akae pembeni
Hata kama Dr akirudi..things wont be the same...watanzania wameshaelewa sababu za Dr kugoma!