John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

John Mnyika ndani ya Kikao cha Kamati kuu kinachoendelea

Bado mmoja Dr raisi Wa mioyo yetu endeleeni na juhudi, asipoonekana leo,
kesho tunaandamana.
 
Chonde chonde chadema mshikamane msiwape nafasi ccm kuvuruga mipango yenu kumbukeni in mipango ya mungu mwaka huu kuidondosha ccm umoja wenu Na mshikamano wenu ndio utawapa ushindi viva mnyika viva slaa



Mkuu usipate shaka, CHADEMA iko shwari kabisa, tunawachezesha magamba ngoma nao wanaicheza bila kujua.

CHADEMA hawakurupuki kama wenzetu wa Lumumba, maamuzi yote hufanywa ndani ya vikao halali na huridhiwa na kukubaliana kwa pamoja.

Huu ni mpango wa kumpoteza kabisa magufuli, kwani unamsikia tena? Kapotelea kusikojulikana. Hata wasisiem wenyewe wameshamsahau mgombea wao wa urais. Siasa ni hesabu, na katika hili Ukawa wamefanikiwa.
 
Past picture, tuna akili tofauti na mnavyodhani, Mwaka huu tumewaka solex mtakoma magwanda
 
Aiiseedd nimeanza kupata moyo, bado mtu mmoja tuu akionekana nitafurahi zaaidi
 
Kweli CDM sheeeeda!!! Magufuli kasahaulika kabisa!

magufuli sio saizi ya Lowasa(simba na fundi WA siasa). Namuone huruma magufuli kaingizwa mkenge kwa kutupiwa gunia la misumari.
 
Back
Top Bottom