Mnyika ni mwanasiasa wa hovyo sana ambaye jimbo limemshinda kitamboComred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Una haki ya kuongea lolote unaliona kwako ni sahihi, yaani mtazamoMbowe ni gaidi
Ndugu mjumbe unaongea ulichokuwa na uhakika nacho au unabahatisha .Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Jimbo lipi limemshindaMnyika ni mwanasiasa wa hovyo sana ambaye jimbo limemshinda kitambo
USSR
Hata wewe hivyo hivyoUna haki ya kuongea lolote unaliona kwako ni sahihi, yaani mtazamo
Unaongea wakati umebana pua kisa buku 7?Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Jifunze kwanza kuandika wewe sukuma gang.Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Sijui kama utapata jibu la swali lako kutoka kwa huyo lumumbaKwanini wanataka kumwachia kama kumfanyia hisani Mkuu?
Gaidi ni wazazi wakoMbowe ni gaidi
Kwani leo umetoroka kutoka kwenye lindo la kaburi?Wanapimana nguvu na ukuta!