MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwa taifa linahitaji vijana jasiri na watukutu wasiponda kujikomba komba na kujipendekeza, wasikua watu wa "ndio bwanamkubwa. Hili naliona kwa vijana wa CHADEMA, CCM inatengeneza na kulea vijana wengi sana lakini hawajatokea wa kuwafikia hata kijana mmoja wa CHADEMA.
1.TUNDU LISSU
Huyu aliwahi kukamatwa na jeshi la polisi na kuswekwa ndani kwa madai ya makosa ya uchochezi, alipotoka ndani hakuogopa akayarudia tena maneno hayo ya uchochezi akakamatwa tena. Huyu jamaa mpaka anapatwa na madhila ya kushambuliwa na risasi na wasiojulikana hakuwahi kutengua kauli zake na wala hajawahi kujipendekeza kwa mtu.
2.JOHN HECHE
Mmh! Huyu aliwahi kuongea na mmkuu wa nyumba akiwa ameweka mikono mfukoni mpaka akamwomba amheshimu kama mzazi wake.Kwa kijana wa kawaida hawezi kua na ujasiri huo ingawa kimaadili haukua mzuri.
3.HALIMA MDEE
Huyu mwanadada alitoka hadharani na kupingana na nkauli za mkuu na baadae akakazia maneno yake, baada ya hapo akakamatwa na kutiwa ndani, ni mwanamama asiyejipendekeza wala kumuogopa mtu.
5.JOHN MNYIKA
Huyu siku ya jana bila kumung'unya maneno wala kujikomba au kujipendekeza mbele ya mkuu, yeye emesema wazi wazi uso kwa uso na mkuu yaliyo rohoni mwake,chama chake na watanzania wengine wa kawaida ambao hawawezi kusimama na kuyasema mbele ya mkuu.
Ni vijana watutukutu, jasiri,wana akili nyingi, wadadisi wa mambo,watafiti wa mambo, hawapelekeshwi na wala hawajipendekezi kwa mtu.
Pamoja na ugumu wa siasa za upinzani nchini kwa sasa, lakini naona kabisa bado chama chao kina maisha marefu sana na huenda ndio mbadala wa CCM kwa baadae maana hakuna kijana yeyeote kutoka huko akasimama na kuzungumza kama hawa wa upinzani.
Hongera zana Mh Mbowe, unawajengea na kuwanoa vijana volivyo. Wamenoleka wakaiva,chama chako pekee ndio chenye vijana wa aina hii aliowasema mwl Nyerere.
1.TUNDU LISSU
Huyu aliwahi kukamatwa na jeshi la polisi na kuswekwa ndani kwa madai ya makosa ya uchochezi, alipotoka ndani hakuogopa akayarudia tena maneno hayo ya uchochezi akakamatwa tena. Huyu jamaa mpaka anapatwa na madhila ya kushambuliwa na risasi na wasiojulikana hakuwahi kutengua kauli zake na wala hajawahi kujipendekeza kwa mtu.
2.JOHN HECHE
Mmh! Huyu aliwahi kuongea na mmkuu wa nyumba akiwa ameweka mikono mfukoni mpaka akamwomba amheshimu kama mzazi wake.Kwa kijana wa kawaida hawezi kua na ujasiri huo ingawa kimaadili haukua mzuri.
3.HALIMA MDEE
Huyu mwanadada alitoka hadharani na kupingana na nkauli za mkuu na baadae akakazia maneno yake, baada ya hapo akakamatwa na kutiwa ndani, ni mwanamama asiyejipendekeza wala kumuogopa mtu.
5.JOHN MNYIKA
Huyu siku ya jana bila kumung'unya maneno wala kujikomba au kujipendekeza mbele ya mkuu, yeye emesema wazi wazi uso kwa uso na mkuu yaliyo rohoni mwake,chama chake na watanzania wengine wa kawaida ambao hawawezi kusimama na kuyasema mbele ya mkuu.
Ni vijana watutukutu, jasiri,wana akili nyingi, wadadisi wa mambo,watafiti wa mambo, hawapelekeshwi na wala hawajipendekezi kwa mtu.
Pamoja na ugumu wa siasa za upinzani nchini kwa sasa, lakini naona kabisa bado chama chao kina maisha marefu sana na huenda ndio mbadala wa CCM kwa baadae maana hakuna kijana yeyeote kutoka huko akasimama na kuzungumza kama hawa wa upinzani.
Hongera zana Mh Mbowe, unawajengea na kuwanoa vijana volivyo. Wamenoleka wakaiva,chama chako pekee ndio chenye vijana wa aina hii aliowasema mwl Nyerere.